Monday, 27 July 2015

HOUSE FOR SALE



A HOUSE FOR SALE: Located at Goba few meters from main road,it has 3 bed rooms one being a master bed room, sitting room,dinning room,kitchen
, it has enough compound 1200 sqm, PRICE is TSH. 8O million ( negotiable ), contact us at 0652314181 for more details.

Rais Obama atua nchini Ethiopia


Rais Obama atua nchini Ethiopia



Rais wa Marekani Barack Obama akiwasili nchini Ethiopia.
 Raisi Barack Obama akipokelewa na rais wa Ethiopia.
Rais Obama akipokea shada.
Rais Barack Obama wa Marekani hatimaye amefika nchini Ethiopia katika ziara yake ya pili ya nchi za Afrika.
Ni mara yake ya kwanza tangu aongoze taifa la Marekani akiwa raisi kuhutubia wanachama hamsini na mbili wa umoja wa Afrika katika makao makuu yake yaliyoko Addis ababa. Mazungumzo yao yakiwa yamelenga kutafuta suluhu ya kutokomeza migogoro ya vita za wenyewe kwa wenyewe sudan ya kusini.
Raisi Obama,aliwasili nchini Ethiopia akiwa anatokea mjini Nairobi ambako aliwaambia wakenya kuwa amna kikomo cha kile wanachokihitaji na kusisitiza kwa kutoa angalizo katika athari za ukabila na rushwa. Tamaduni mbaya kama unyanyasaji wa kijinsia, ndoa za kulazimishwa ,tohara kwa watoto wa kike na kutopeleka watoto shuleni.

Matukio katika picha: Rais Obama alipowasili nchini Kenya

Matukio katika picha: Rais Obama alipowasili nchini Kenya



Rais wa Marekani Barack Obama akiwasili nchini Kenya.
Rais Barack Obama wa Marekani amewsili nchini Kenya na kupokelewa na mwenyejinwake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta   kwenye uwanja wa ndege wa wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Akiwa nchini Kenya Rais Obama atafungua mkutano wa Kimataifa  wa kibiashara, Ugaidi na haki za binadamu  unaofanyika nchini humo kabla ya kuendelea na ziara yake nchini Ethiopia
Endelea kuwa nasi tutakujulisha kila kinacho endelea katika ziara ya Rais Obama nchini Kenya.
Rais Obama akisalimiana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili nchini Kenya.
Rais wa Marekani Barack Obama akiwa na bibi yake Mama Sarah Obama kushoto na dada yake Auma Obama katika chakula cha jioni na wanandugu wa familia ya Obama nchini Kenya.
Ndege ya Marekani iliyombeba Rais Barack obama.
Rais Barack Obama wa Marekani akipokea shada la maua mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.

clouds stream