Thursday 9 November 2017

Rais Magufuli Awasili Uganda Kwa Ziara Ya Siku 3





Rais, Dkt. John Pombe Magufuli leo amewasili nchini Uganda kwa ziara ya siku 3 kwa mwaliko wa Rais, Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kukamilisha siku 4 za ziara yake Mkoani Kagera.

Kwa pamoja, marais hao wataweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Bomba la kusafirishia Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga, Tanzania.

clouds stream