Tuesday, 22 April 2014

MUST WATCH HORROR MOVIES 2014

1. OCULUS
Ten years ago, tragedy struck the Russell family, leaving the lives of teenage siblings Tim and Kaylie forever changed when Tim was convicted of the brutal murder of their parents. Now in his 20s, Tim is newly released from protective custody and only wants to move on with his life; but Kaylie, still haunted by that fateful night, is convinced her parents' deaths were caused by something else altogether: a malevolent supernatural force unleashed through the Lasser Glass, an antique mirror in their childhood home. Determined to prove Tim's innocence, Kaylie tracks down the mirror, only to learn similar deaths have befallen previous owners over the past century. With the mysterious entity now back in their hands, Tim and Kaylie soon find their hold on reality shattered by terrifying hallucinations, and realize, too late, that their childhood nightmare is beginning again... 

2. ONLY LOVERS LEFT ALIVE
Set against the romantic desolation of Detroit and Tangier, an underground musician, deeply depressed by the direction of human activities, reunites with his resilient and enigmatic lover. Their love story has already endured several centuries at least, but their debauched idyll is soon disrupted by her wild and uncontrollable younger sister. Can these wise but fragile outsiders continue to survive as the modern world collapses around them? (c) Sony Classics

3. STAGE FRIGHT
Starry-eyed teenager Camilla Swanson wants to follow in her mother's footsteps and become a Broadway diva, but she's stuck working in the kitchen of a snobby performing arts camp. Determined to change her destiny, she sneaks in to audition for the summer showcase and lands a lead role in the play, but just as rehearsals begin, blood starts to spill, and Camilla soon finds herself terrified by the horror of musical theatre. (c) Magnet

4. THE MARKED ONES
A young California Latino named Jesse (Andrew Jacobs) is designated for possession by the same malevolent demon who previously claimed Kristi and Katie. Christopher Landon (son of Highway to Heaven actor Michael Landon) wrote and directed this spin-off/sequel produced by Oren Peli and Jason Blum. ~ Jason Buchanan, Rovi

Mustakabali wa Moyes Man U


Klabu ya Manchester United inasema kuwa David Moyes hajafutwa kazi lakini imekataa kuzungumzia mstakabali wa kocha huyo katika klabu hiyo.
Magazeti nchini Uingereza yanasema kuwa klabu hiyo huenda ikamfuta kazi Moyesa kufuatia msururu wa matokeo mabaya msimu huu.
Alipohojiwa kuhusu ikiwa kocha huyo ataaga klabu hiyo kabla ya mwisho wa msimu,alijibu kwa kusema kawaida hawazungumzii utabiri.Hata hivyo msemaji wa klabu hiyo alithibitisha kuwa Moyes bado hajafutwa kazi.
Hakuna hata gazeti moja limesema kuwa Moyes amefutwa kazi.
Jarida la Daily Mail limenukuliwa likisema kuwa Moyes huenda akafutwa kazi kabla ya msimu kuisha wakati Daily Telegraph likisema amepoteza uungwaji mkono wa wamiliki wa klabu hiyo na huenda akafutwa kazi.
Moyes aliteuliwa na Sir Alex Ferguson, kumrithi kama meneja wa klabu hiyo alipostaafu baada ya kuhudumu kama meneja kwa miaka 26
Moyes mwenye umri wa miaka 50, alipewa mkataba wa miaka sita na kuondoka Everton kuongoza mabingwa wa ligi lakini mkataba wake huenda unaelekea ukingoni baada tu ya miezi kumi.

Wanafunzi 230 bado wametekwa Nigeria


Takriban wanafunzi 230 wa shule iliyoshambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram, hawajulikani waliko.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya maafisa wakuu wa shule ya Chibok katika jimbo la Borno wanaosema kuwa wanafunzi hao hawajapatikana tangu wavamizi walipovamia shule yao wiki jana.
Maafisa wakuu wa shule katika jimbo la Borno wanasema kuwa takriban wanafunzi 230, hawajulikani waliko.Idadi hii iliyotolewa na maafisa wa shule inakinzana na idadi iliyotangazwa na serikali hapo awali ya wasichana 85 kutopatikana.
Walitekwa nyara katika eneo la Chibok, wiki jana na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram.
Idadi hii ni kubwa ikilinganishwa na idadi iliyotangazwa na serikali.
Mwalimu mkuu wa shule ambako wanafunzi hao walikuwa wanasoma, ameambia idhaa ya Hausa ya BBC kuwa sajili la wanafunzi katika shule hiyo, linaonyesha kuwa wanafunzi wengi bado hawajapatikana.
Anasema, idadi ya wasichana ambao hawajapatikana, imetokana na idadi ya wazazi waliosajiliwa wakisema kuwa watoto wao ni miongoni mwa wale walioyekwa nyara.
Ni wanafunzi 43 pakee wameweza kupatikana baada ya kutoroka kutoka mikononi mwa washukiwa wa Boko Haram.
Idadi hiyo kubwa imejitokeza wiki moja baada ya utekaji nyara wa wanafunzi katika jimbo la Borno na pia baada ya gavana wa jimbo hilo alisisitiza apelekwe huko chini ya ulinzi wa jeshi.
Wazazi walimwambia kuwa maafisa wa ulinzi hawakutaka kuwasikilizawalipotaka kuwasilisha orodha ya majina ya watoto wao ambao idadi yao ilifika 234.
Sababu ya tofauti katika takwimu hizo bado haijabainika
Takriban watu 1,500 wameuawa na Boko Haram mwaka huu. Wapiganaji hao wanapigania kile wanachosema ni elimu ya kimagharibi na wanataka sheria za kiisilamu kutumia kuitawala nchi hiyo.

clouds stream