|
Serial number
|
Property name
|
Size in sqm
|
Location
|
Description
|
Price in Tshs
|
|
01
|
NYUMBA
FOR SALE
|
340
|
Sinza
|
Ina vyumba 3 moja ni master, jiko,dinning
na store,ina kota ya mtumishi,ina parking magari 3 hivi,tiles, madirisa ya
kisasa, ukuta na gate 2.Ipo sinza Mugabe nyuma ya wayside bar mita kama 100..Ina
ofa
|
Milioni 180 na kushuka,
maongezi yapo
|
|
02
|
NYUMBA
FOR SALE
|
686sqm
|
Bunju b
|
90 percent complete house
for sale(Mpya). Ina vymba 3 moja
self,sebule ya kisasa,kitchen na dinning ,madirisa ya kisasa,na eneo kuubwa
sana tu.Ina hati ya miaka 66
|
Mil 150 na maongezi
ruksa(mmiliki na kampuni yetu ya rockland real estate asilimia mia.
|
|
03
|
NYUMBA(SEMI FINISHED)
|
526sqm
|
Bunju b
|
Ina vyumba 3 moja self,ina jiko,vyoo vya
wote,dinning na sebule,ina grills tayari na eneo lake ni kubwa tu.
|
Bei 40 na maongezi nakaribisha..hii pia
ni yetu asilimia 100
|
|
04
|
MJUMBA
|
965sqm
|
Ukonga madafu
|
Vyumba 5 moja self,sebule, public,jiko na
store,parking nayo ipo…hii inauzwa kwa haraka ,ina ofa
|
Bei mil 100 na maongezi
|
|
05
|
NYUMBA
|
NOT KNOWN
|
Bunju b
|
Nyumba 3 kwa pamoja ipo ndani ya ukuta,
nyumba kubwa ina 3 rooms na master na kila kitu, gate kuna nyumba za
wapangaji zote ni component moja, ina ofa
|
Mil 80 na maongezi
|
|
06
|
NYUMBA
|
NOT KNOWN
|
SINZA C(Jirani na stendi mpya ya dala
dala )
|
Ina vymba 4 vikubwa sana moja
self,sebule,jiko,na imezungushiwa ukuta mzito na gate ,Ina leseni ya makazi
|
Mil 100 na mazungumzo
|
|
07
|
NYUMBA
|
Known known
|
Bunju b( ipo jirani na bara bara kuu ni
mwendo wad k 5 tu)
|
Ina 4 rooms moja ni master na sebule,jiko
na dinning.Ni semi finished
|
Bei mil 25 tu
|
|
08
|
NYUMBA
|
NOT KNOWN
|
Tabata Liwiti
|
3 rooms, master, dinning na jiko+ sebule
zote za kisasa, madirisha aluminium , bati msouth na tyles na paving
blocks,iko na ukuta mzuri tu
|
Bei mil 65 tu
|
|
09
|
NYUMBA /UWANJA WA UKUMBI
|
1996
|
Maili moja mjini mita chache toka stendi
|
Vyumba 11 master 2,visima vikubwa vya
maji…inafaa kuwa Guest House, eneo linafaa kujengea ukumbu mkubwa wa
sherehe,na kubaki eneo la parking.Ina hati ya miak 66
|
Inaanzia mil 180 na maongezi
yapo(Tumekabidhiwa tuiuze)
|
|
10
|
NYUMBA/Plot
|
Eneo ni mita 67 kwa 32
|
Bunju b mita 800 toka bagamoyo road
|
Ni semi finished Nyumba na ni ya kisasa, bati la south, room 3 moja ni
master, jiko , dinning n aka stoo
|
Mil 60 anaaznia na mazungumzo
|
|
|
|
|
|
|
|
Tuesday, 1 April 2014
PLOTS FOR SALE
PLOTS FOR SALE. VIEW DETAILS
|
s/no
|
Plot
|
location
|
size
|
price
|
|
|
01
|
shamba
|
Kibaha – maili moja kama nusu km toka
maili moja mjini
|
5 acres haina hati
|
Mil 2.5
|
|
|
02
|
Shamba
|
Kimbiji- jirani na kiwanda cha sementi,
jirani na daraja jipya
|
40 acres na haina hati
|
Mil 300 na maongezi yapo
|
|
|
03
|
plot
|
mikocheni
|
Sqm 848
|
Mil 600
|
|
|
04
|
plot
|
Kawe beach jirani na kwa zamaradi kawawa
|
Sqm 545
|
Mil 230
|
|
|
05
|
plot
|
Mbweni mtaa wa malindi ina title
|
Sqm 900
|
Mil 50
|
|
|
06
|
plots
|
Goba, zipo 6 ktk eneo moja, mita 20 kwa
25
|
Not known
|
Mil 8 kwa kipimo
|
|
|
07
|
plots
|
Tegeta a, goba, bunju
|
varies
|
Kuanzia mil 8-15
|
|
|
08
|
plot
|
Bunju haina hati, jirani na bagamoyo road
mita 100
|
25 kwa 35
|
Mil 25
|
|
|
09
|
plot
|
Mapinga haina hati
|
30 kwa 35
|
Mil 15
|
|
|
10
|
plot
|
Mbezi beach
|
Sqm 2200
|
Mil 350
|
|
|
11
|
plot
|
Mbezi luis
|
1500
|
Mil 17
|
|
|
12
|
shamba
|
Lipo mbezi msakuzi
|
Eka 13
|
Mil 450 negotiable
|
|
WALCOT NA VALENCIA ZAIDI YA MESSI KWA KASI!ORODHA YA WACHEZAJI MPIRA WENYE KASI KULIKO WOTE DUNIANI 2012-2013
FIFA imeweka hadharani orodha ya wachezaji ambao wana kasi zaidi wakiwa uwanjani. Oorodha hii imetegemeana hasa na kasi ya juu zaidi aliyoionesha mchezaji katika mechi kadha ndani ya msimu wa 2012-2013. Hii ndio orodha ya watu hao wenye kasi zaidi uwanjani.
1. ANTONIO VALENCIA(MANCHESTER UNITED).
Mchezaji Antonia Valencia wa manchester united anaongoza kwa spidi kwenye msimu huu akiwa na rekodi ya spidi 35.2 km/hr.
2. GARETH BALE (REAL MADRID).
Mchezaji Gareth Bale anashkilia nafasi ya pili kwa kuandika spidi iliyorekodiwa ya 34.7 km/h ambapo mchezaji huyu wa bei ghali zaidi hutumia mbio zaidi katika uchezaji wake.
3. AARON LENON (TOTENHAM HOTSPURS).
Aaron Lenon ameandika spidi ya 33.8 km/h ambapo mchezaji huyu alishika nafasi ya kwanza msimu wa 2011-2012
4. CHRISTIANO RONALDO (REAL MADRID).
Mchezaji bora wa mwaka Christiano Ronaldo ameandika spidi ya 33.6 km/h.
5. THEO WALCOT (ARSENAL).
Mchezaji wa Arsenal Theo Walcot ameshikilia nafasi ya 3 kwa kua na spidi ya 32.7 km/h ambapo amemzidi mpaka lionel messi wa Barcelona kwa kutoka nduki.
6. LIONEL MESSI (BARCELONA).
Lionel Messi amekaa katika nafasi ya sita ambapo speed yake ya kurekodiwa ni 32.5 km/h
7. WAYNE ROONEY (MANCHESTER UNITED).
Wayne Rooney wa Man United ameandika rekodi ya kasi kua 32.1 Km/h ambapo pamoja na kasi hii, mchezaji huyu amekua na uwezo mkubwa wa kukaa na mpira pamoja na kutumia nguvu.
8. FRANCK RIBERY (BAYERN MUNICH).
Franck Ribery wa Bayern Munich na ufaransa ameshikilia nafasi ya 8 katika kufukuza upepo akiwa uwanjani kwa kuwa na kasi ya 30.7 km/h ambapo hajapishana na mwenzie Arjen Robben.
9. ARJEN ROBBEN (BAYERN MUNICH).
Kama alivyo Franck, ndivyo alivyo Robben kwa kasi ambapo pia amefikisha kasi ya 30.7 km/h. Akionekana kama mzee ila kwenye mbio, mchezaji huyu ni hatari sana kwa walinzi wa timu pinzani.
10. ALEXIS SANCHEZ (BARCELONA).
Alexis Sanchez amefikisha kasi ya 30.1 km/h ambapo amejumuika na wachezaji wengine wa ligi ya Hispania katika nafasi hio huku akionesha kiwango kizuri mbele ya goli.
1. ANTONIO VALENCIA(MANCHESTER UNITED).
Mchezaji Antonia Valencia wa manchester united anaongoza kwa spidi kwenye msimu huu akiwa na rekodi ya spidi 35.2 km/hr.
2. GARETH BALE (REAL MADRID).
Mchezaji Gareth Bale anashkilia nafasi ya pili kwa kuandika spidi iliyorekodiwa ya 34.7 km/h ambapo mchezaji huyu wa bei ghali zaidi hutumia mbio zaidi katika uchezaji wake.
3. AARON LENON (TOTENHAM HOTSPURS).
Aaron Lenon ameandika spidi ya 33.8 km/h ambapo mchezaji huyu alishika nafasi ya kwanza msimu wa 2011-2012
4. CHRISTIANO RONALDO (REAL MADRID).
Mchezaji bora wa mwaka Christiano Ronaldo ameandika spidi ya 33.6 km/h.
5. THEO WALCOT (ARSENAL).
Mchezaji wa Arsenal Theo Walcot ameshikilia nafasi ya 3 kwa kua na spidi ya 32.7 km/h ambapo amemzidi mpaka lionel messi wa Barcelona kwa kutoka nduki.
6. LIONEL MESSI (BARCELONA).
Lionel Messi amekaa katika nafasi ya sita ambapo speed yake ya kurekodiwa ni 32.5 km/h
7. WAYNE ROONEY (MANCHESTER UNITED).
Wayne Rooney wa Man United ameandika rekodi ya kasi kua 32.1 Km/h ambapo pamoja na kasi hii, mchezaji huyu amekua na uwezo mkubwa wa kukaa na mpira pamoja na kutumia nguvu.
8. FRANCK RIBERY (BAYERN MUNICH).
Franck Ribery wa Bayern Munich na ufaransa ameshikilia nafasi ya 8 katika kufukuza upepo akiwa uwanjani kwa kuwa na kasi ya 30.7 km/h ambapo hajapishana na mwenzie Arjen Robben.
9. ARJEN ROBBEN (BAYERN MUNICH).
Kama alivyo Franck, ndivyo alivyo Robben kwa kasi ambapo pia amefikisha kasi ya 30.7 km/h. Akionekana kama mzee ila kwenye mbio, mchezaji huyu ni hatari sana kwa walinzi wa timu pinzani.
10. ALEXIS SANCHEZ (BARCELONA).
Alexis Sanchez amefikisha kasi ya 30.1 km/h ambapo amejumuika na wachezaji wengine wa ligi ya Hispania katika nafasi hio huku akionesha kiwango kizuri mbele ya goli.
Subscribe to:
Posts (Atom)








