Tuesday, 25 November 2014
HOUSES FOR SALE
House for sale:Amoderm house for sale it is a South African brick made ( interlocking bricks ) house, with 3 spacious master bed rooms for sale. LOCATION: Boko kwa mwamba, SIZE: Block fence zqm 420, TITTLE: 3 years ( no loan, smart ), PRICE: tsh. 125 mill ( semifinished ) and tsh. 150 mill (finished).Morgage acceptable
House for sale: 5 bed rooms house located near Kinyerezi catholic church. Has spascious 5 bed rooms, kithcen, dinning / sitting room, SIZE: 400 sqm , no titttle, PRICE: tsh.120 mill ( negotiable )
HOUSE FOR SALE: A house with huge compound full of trees, located at Kibamba ccm, near Kibamba primary school, 1750 sqm ( two plots ) . PRICE: tsh. 170 mill, tittle 99 years also it has home morgage loan in bank.
HOUSE FOR SALE: we have a new 3 bed rooms house at Kinyerezi ( Tabata ) for sale, have a block fence, no tittle. PRICE: tsh. 60 mill
HOUSE FOR SALE: Stone buiding for sale located at Sinza kijiweni, 3 apartment semi finished, 250 sqm with title, price; tsh. 800 mill (negotiable).
HOUSE FOR SALE: A house located at Mbezi Msigani, 4 bed rooms, kitchen,sitting or dinning room has a title deed, price:tsh 50 mil (installment allowed).
Sunday, 23 November 2014
WENGER ALIA NA MABEKI KIPIGO CHA MAN U
WENGER ALIA NA MABEKI KIPIGO CHA MAN U

Kocha wa arsenal Arsene Wenger amewalaumu walinzi wa timu hiyo kufuatia ushindi wa manchester United.
Arsenal walipatikana wakiwa wazi katika safu ya nyuma walipojaribu kutafuta bao la kukomboa baada ya Kieran Gibs kujifunga.
Wenger amesema kuwa kwa sasa safu hiyo ya ulinzi haina uzoefu wa kutosha kuweza kusoma mechi.
Katika mechi hiyo Arsenal walifanya mashambulizi 23 katika lango la Manchester United.
Wenger aliongezea ”ni mechi tuliotawala kwa asilimia 80 na hatujatawala mechi kama hivo kwa mda mrefu”.
”Mwisho wa mechi hatukuwa imara katika safu ya Ulinzi na tulifanya makosa ambayo walichukua fursa na kutuadhibu”.
SAKATA LA ESCROW: WALIOGAWANA FEDHA ZA UMMA KUJULIKANA WIKI HII
SAKATA LA ESCROW: WALIOGAWANA FEDHA ZA UMMA KUJULIKANA WIKI HII
Sakata la wizi wa mabilioni ya fedha za umma katika akaunti ya Escrow watuhumiwa wote kujulikana wiki hii siku ya jumatano na Alhamisi. Katika siku hizo Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linatarajia kujadili ripoti ya escrow.
Hivi sasa Wabunge wa kila vyama wamekuwa wakikutana kuweka misimamo yao kuhusu namna watakavyoshiriki kujadili ripoti hiyo ili kuokoa mabilioni ya fedha za wananchi zilizoibwa na watendaji wa serikalini na hatimaye kugawana.
Aidha, katika Kikao cha Kamati ya Uongozi wa Bunge kilichofanyika jana asubuhi kilikubaliana suala hilo la escrow lijadiliwe kwa siku mbili badala ya moja kama iliyokuwa imepangwa awali.
Kwa upande mwingine kambi Rasmi ya Upinzan Bungeni, imeibuka na madai kwamba vigogo wanaotuhumiwa kugawana fedha za Escrow wamenyofoa baadhi ya karatasi zenye majina yao ili kuficha ushaidi ambapo wameandaa propaganda ya kuwahadaa wananchi kuwa ripoti hiyo haijakamilika.
Naye Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia ametaja kurasa zilizonyofolewa katika ripoti hiyo kuwa ni zilizobeba mambo ya msingi ambazo ni ukurasa wa 57, 58 na 59.
Watanzania wanausubiri kwa hamu kubwa mjadala huo utakaorindima wiki hii ili kuwafahamu walioiba fedha za umma na kugawana huku mambo ya msingi kama ujenzi wa shule, madawa hospitalini yakikwama kutokana na tamaa ya watu wachache wasio wazalendo.
Subscribe to:
Posts (Atom)



