Kina Ronaldo Washatua Manchester City Ona Picha
Tarehe April 26, 2016

Ronaldo akiwa ndio anatoka katika lango la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manchester city
Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya hatua ya Nusu fainali inaendelea tena leo ambapo Manchester City watamenyana na Real Madrid,Kikosi cha Real Madrid kimetua katika jiji la Manchester City kukabiliana na wenyeji wao Manchesetr City
katika Mechi hiyo Man City wanatakuwa na pigo kubwa la kumkosa Kiungo wao kutoka Ivory Coast, Yaya Toure.
nimekuwekea Picha za Real Madrid walipokuwa wakiwasili Manchester



Sergioa Ramos naye alipata wasaha wa kuongea na mashabiki

Ronaldo kama kawaida yake ni kipenzi cha mashabiki

Pepe akiongea na mashabiki

Gareth Bale akisalimiana na mashabiki waolifika kuwapokea