Picha Azam Fc Wakijifua Jioni Ya Leo
Tarehe April 11, 2016
Mwantika akipiga mbizi ilikuweka mwili safi
Baadhi ya wachezaji wa Azam FC walivyofanya mazoezi binafsi mara baada ya mazoezi ya jioni ya leo, mabeki David Mwantika na Gadiel Michael walikuwa wakifanya mazoezi ya kutafuta pumzi ndani ya bwawa la kuogelea kwa kuzama chini na kupiga mbizi kinyumenyume na kwa kwenda mbele.