Shujaa Samatta Atua Bongo,Alakiwa Na Mamia Ya Mashabiki
Tarehe January 9, 2016
Samatta akiwa na Baba yake mzazi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere
Samatta amereje nchini akitokea Lagos, Nigeria ambako alishinda tuzo hiyo. Angalia ilivyokuwa mashabiki hao wakiwa na furaha tele.