Bayern Munich yasonga mbele, yaichinja Porto nyumbani
Bayern Munich imeichapa FC Porto ya Ureno kwa bao 6-1 katika mechi ya
marudiano ya ligi ya mabingwa Ulaya iliyopigwa jana usiku kwenye dimba
la Allianz Arena, mjini Munich, Ujerumani.
Watu wengi walifikiri Bayern itaaga michuano hiyo kutokana na kipigo
cha 3-1 ilichoambulia kutoka kwa FC Porto kwenye mchezo wa awali
uliopigwa Ureno.
Katika mechi hiyo ya marudiano ya robo fainali wenyeji walipata mabao yao kupitia kwa Thiago Alcantara, Robert Lewandowski aliyefunga mawili, Thomas Muller, Jerome Boateng na Xabi Alonso wakati wageni walipata bao pekee kutoka kwa Martnez.
Kwa maana hiyo, Bayern Munich wamefuzu kucheza hatua ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 7-4 dhidi ya FC Porto.
Tarehe April 22, 2015
Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia moja kati ya magoli yao waliyofunga kwenye mechi dhidi ya FC Porto
Katika mechi hiyo ya marudiano ya robo fainali wenyeji walipata mabao yao kupitia kwa Thiago Alcantara, Robert Lewandowski aliyefunga mawili, Thomas Muller, Jerome Boateng na Xabi Alonso wakati wageni walipata bao pekee kutoka kwa Martnez.
Kwa maana hiyo, Bayern Munich wamefuzu kucheza hatua ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 7-4 dhidi ya FC Porto.
Bayern Munich imeichapa FC Porto ya Ureno kwa bao 6-1 katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa Ulaya iliyopigwa jana usiku kwenye dimba la Allianz Arena, mjini Munich, Ujerumani.

Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia moja kati ya magoli yao waliyofunga kwenye mechi dhidi ya FC Porto
Katika mechi hiyo ya marudiano ya robo fainali wenyeji walipata mabao yao kupitia kwa Thiago Alcantara, Robert Lewandowski aliyefunga mawili, Thomas Muller, Jerome Boateng na Xabi Alonso wakati wageni walipata bao pekee kutoka kwa Martnez.
Kwa maana hiyo, Bayern Munich wamefuzu kucheza hatua ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 7-4 dhidi ya FC Porto.