Magufuli awanadi Ridhiwani, Kawambwa mkoani Pwani
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea ubunge wa jimbo jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete.
Akizungumza katika mikutano yake ya kampeni iliyofanyika katika majimbo ya Chalinze na Bagamoyo Magufuli alibanisha kuwa ugunduzi wa gesi hiyo itasaidia ujenzi wa viwanda katika serikali yake.
Kwa upande mwingine Magufuli alisema serikali yake anatarajia iwe ya viwanda ili kutoa fulsa ya ajira kwa vijana ambao wamekuwa hawana kazi mara baada ya kumaliza masomo yao.