Tuesday 27 December 2016

30 Wafa Maji Baada Ya Boti Kuzama

da5
img-20161130-wa0008
Polisi nchini Uganda wanasema takriban watu 30 wamekufa maji baada ya boti yao kuzama katika ziwa Albert magharibi mwa taifa hilo.
Abiria wengi walikuwa wanasoka na mashabiki wao waliokuwa wakielekea katika mechi ya kirafiki ya kuadhimisha siku ya Krismasi.
Mafisa wa polisi wamesema chombo hicho kilikuwa kimejaa kupita kiasi huku abiria wakiimba na kupiga tarumbeta.

clouds stream