Matokeo ya mechi zote za jana kufuzu mataifa ya Afrka 2017

Licha ya kufanya mazoezi karibu wiki nchini Ethiopia timu ya taifa ya Tanzania imeendelea kufanya vibaya kuliko timu zote za ukanda wa Afrika mashariki baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-0 dhidi ya mafarao wa Misri, huku Kenya ikitoka sare na Congo, na Rwanda ikishinda. Matokeo mengine ya kushtua ni ushindi wa Ghana wa 7-1 dhidi ya Mauritius.
Togo 2 – 1 Liberia
DR Congo 2 – 1 Madagascar
Congo 1 – 1 Kenya
Egypt 3 – 0 Tanzania
Mozambique 0 – 1 Rwanda
Ghana 7 – 1 Mauritius
Sudan 1 – 0 Sierra Leone
Ethiopia 2 – 1 Lesotho
Niger 1 – 0 Namibia
Cameroon 1 – 0 Mauritania
Gabon 0 – 0 Ivory Coast