Ridhiwani Kikwete Atoa Vitabu 3438 Kwa Shule Chalinze
Tarehe February 19, 2016
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete leo amekabidhi vitabu 3438 vya shule za Msingi 105 na sekondari 17 vyenye thamani ya shilingi milioni 68,760,000.
Mbunge Ridhiwani Kikwete akitoa neno baada ya kukabidhi vitabu hivyo leo katika shule ya msingi Mdaula.