Friday 30 May 2014

VISIT LAKE MANYARA NATIONAL PARK TANZANIA.


Lake Manyara National Park

Stretching for 50km along the base of the rusty-gold 600-metre high Rift Valley escarpment, Lake Manyara is a scenic gem, with a setting extolled by Ernest Hemingway as “the loveliest I had seen in Africa”.
The compact game-viewing circuit through Manyara offers a virtual microcosm of the Tanzanian safari experience.
From the entrance gate, the road winds through an expanse of lush jungle-like groundwater forest where hundred-strong baboon troops lounge nonchalantly along the roadside, blue monkeys scamper nimbly between the ancient mahogany trees, dainty bushbuck tread warily through the shadows, and outsized forest hornbills honk cacophonously in the high canopy.
Contrasting with the intimacy of the forest is the grassy floodplain and its expansive views eastward, across the alkaline lake, to the jagged blue volcanic peaks that rise from the endless Maasai Steppes. Large buffalo, wildebeest and zebra herds congregate on these grassy plains, as do giraffes – some so dark in coloration that they appear to be black from a distance.
Inland of the floodplain, a narrow belt of acacia woodland is the favoured haunt of Manyara’s legendary tree-climbing lions and impressively tusked elephants. Squadrons of banded mongoose dart between the acacias, while the diminutive Kirk’s dik-dik forages in their shade. Pairs of klipspringer are often seen silhouetted on the rocks above a field of searing hot springs that steams and bubbles adjacent to the lakeshore in the far south of the park.
Manyara provides the perfect introduction to Tanzania’s birdlife. More than 400 species have been recorded, and even a first-time visitor to Africa might reasonably expect to observe 100 of these in one day. Highlights include thousands of pink-hued flamingos on their perpetual migration, as well as other large waterbirds such as pelicans, cormorants and storks.
About Lake Manyara National Park
Size: 330 sq km (127 sq miles), of which up to 200 sq km (77 sq miles) is lake when water levels are high.
Location: In northern Tanzania. The entrance gate lies 1.5 hours (126km/80 miles) west of Arusha along a newly surfaced road, close to the ethnically diverse market town of Mto wa Mbu.
Getting there
By road, charter or scheduled flight from Arusha, en route to Serengeti and Ngorongoro Crater.
What to do
Game drives, night game drives, canoeing when the water levels is sufficiently high.
Cultural tours, picnicking, bush lunch/dinner, mountain bike tours, abseiling and forest walks on the escarpment outside the park.
When to go
Dry season (July-October) for large mammals;
Wet season (November-June) for bird watching, the waterfalls and canoeing.
Accommodation
One luxury treehouse-style camp, public bandas and campsites inside the park.
One luxury tented camp and three lodges perched on the Rift Wall outside the park overlooking the lake.
Several guesthouses and campsites in nearby Mto wa Mbu.

PARK POSTERS

Lake Manyara National Park poster

 

Elephant on the lakeshore in Manyara

 

Walking in the forest in Manyara

 

Chimpanzee Tracker in Mahale

 

Hippo splashing water in Manyara Lake

 

Group of Impalas

 

A Klipspringer

 

Saddle Billed Storks in Manyara


MINALA ANA MIAKA 17 SIO 42


Lazio; Minala ana miaka 17 sio 42
Uchunguzi wa shirikisho la soka la Italia umebaini kuwa mchezaji tineja wa Cameroun Joseph Minala ana umri wa miaka 17 wala sio 42 kama ilivyodhaniwa na kuripotiwa katika vyombo vya habari.
Mnamo mwezi Februari mtandao mmoja wa michezo barani Afrika ulichapisha habari ambayo ilizua dukuduku iwapo kiungo huyo alikuwa amedanganya umri wake .
Mtandao huo ulichapisha habari za kuashiria kuwa hakuwa tineja bali mtu mwenye umri wa miaka 42.
Lazio; Minala ana miaka 17 sio 42
Uchunguzi uliofwatia ulimlazimu kukatiza kwa muda mipango yake ya kucheza soka ya kulipwa hadi pale matokeo ya uchunguzi yangewekwa wazi na maafisa wa shirikisho la soka la Italia.
Minala alijiunga na klabu hiyo yenye makao yake mjini Rome na hata alishiriki mchuano wa vijana wasiozidi umri wa miaka 23 wa Viareggio mnamo mwezi wa Februari.

ZIMBABWE'S TOP 10 MOST BEAUTIFUL MODELS


These are the Top 10 Most Beautiful Models(Diaspora) According to ZimFabulous
1.Kimberley Robinson was Born and raised in Zimbabwe. This 22 years old Model works part time with Grace Models Agency in Cape Town, Western Cape, South Africa.
2.Moe Makaya is an up and coming model based in Stoke-on-Trent, England, United Kingdom.
3.Nyasha Matonhodze , originally from Zimbabwe, is currently represented by Elite Model Management in London. Nyasha walked in shows like Costume National, Emilio Pucci, Missoni, Versus, Versace, John Galliano, and more. She was also recently on the cover of British Vogue. She was discovered after winning Elite Model Look UK.
4.Michelle Wallace was born and raised in Zimbabwe. She has Model in Africa and South Africa Fashion Weeks.
5. Greatmore Chatya was born in Dzivarasekwa, Harare, Zimbabwe.She currently models with Star Model Management – Johannesburg.
6. Teurai Chanakira is a up and coming model based in Australia.
7.Rachel Stuart is a Former Miss Zimbabwe Universe, who currently Models for FHM South Africa. She is best known for her role as a suitcase model in the M-Net game show Deal or No Deal.
8.Nicole Ncube is an up and coming model based in the UK.
9.Sli Dube (full name Silibaziso Dube) was born April 11, 1989 in Tokyo, Japan. Sli is an up and coming model based in Canada
10.Natasha Ndlovu has lived in Zimbabwe, South Africa and Canada. She is currently a London-based model/blogger.

Wednesday 28 May 2014

PLOTS FOR SALE.


1. BUSINESS PLOT FOR SALE

LOCATION: SINZA NEAR  KIJIWENI

AREA: 900 SQM

TITLE DEED: 99 YEARS

PRICE: TSH 1 BILLION

2. BUILDING PLOT

LOCATION: KIMBIJI DAR

AREA: 400 SQM

PRICE: TSH 5 MIL

3. PLOT

LOCATION: GOBA DAR ES SALAAM

AREA: 800 SQM

PRICE: TSH 12 MIL

&

LOCATION: MBEZI LOUIS

PRICE: TSH 10-20 MIL

4. PLOT FOR SCHOOL

LOCATION: TUANGOMA

AREA: 34,000

PRICE: TSH 750 MIL NEGOTIABLE

5. KIGAMBONI PLOT

AREA: 800 SQM AND ABOVE

PRICE: TSH 50 MIL.

HOUSE FOR SALE AT KIMARA BUCHA DAR ES SALAAM.

LOCATION: KIMARA BUCHA

FEATURES: 4 BEDROOMS, DINNING, KITCHEN AND STORE ROOM

PRICE: THS 130 MIL NEGOTIABLE

CONTACT: +255 652 314 181

EMAIL: nijuzetz@gmail.com






Tuesday 27 May 2014

HOUSE FOR SALE (MBEZI DAR ES SALAAM)


HOUSE FOR SALE (MBEZI DAR ES SALAAM)


LOCATION: MBEZI MJI MPYA

AREA: OVER 600 SQM

PRICE: 70 MIL NEGOTIABLE

CONTACT: +255 652 314 181

EMAIL: nijuzetz@gmail.com






HOUSE FOR SALE (MBEZI DAR ES SALAAM)


HOUSE FOR SALE (MBEZI DAR ES SALAAM)


LOCATION: MBEZI MJI MPYA

AREA: OVER 600 SQM

PRICE: 70 MIL NEGOTIABLE

CONTACT: +255 652 314 181

EMAIL: nijuzetz@gmail.com






FALL FOR CULTURE : “Be Bold, Be Radiant, and Shine this Fall Season”


FALL FOR CULTURE : “Be Bold, Be Radiant, and Shine this Fall Season”

The traditional vibrant African colors and patterns are still among us. Dare to preserve the culture while fiercely owning your personal style and spice. This is all the more reason to embrace these marriages of colors this fall season; wouldn’t you agree?  Let your fashion inspired pieces tell your story with each suffused pattern.
I am really excited for all of the vibrant colors making their debut this season such as rich reds, blues, yellows and oranges. I am not sure about you but this has just added so much more excitement to my wardrobe and not to mention that it will add some inspiration on those dark and cloudy days. So ladies, do not be afraid to be bold, leaving a colorful mark everywhere you go!
As the seasons change so should what we decide to store away and keep in our closets. But before you go all the way wild about cleaning out your summer wardrobe to make way for the fall fashion, here is what I would suggest: take close inventory and you’d be surprised on how many of your summer pieces can transition into fall.
My favorite summer pieces are those maxi dresses, super comfortable and flattering on any body type. Don’t we just adore them? I wouldn’t part ways with them just yet; you can still get a good wear for the next month or so. Paired with the perfect sweater and or cardigan and ankle boots with a thick necklace, this look is guaranteed to turn a few heads.
As for the shoe game, wedges always makes a comeback and this season it’s all about colors that pop, I recently purchased a pair of orange suede wedges that are not only comfortable but will help to liven those lazy days when you simply do not want to jazz it up. We all have those days and this may be just the savior. I found my pair at Express for a whopping $59 and they’re flying off the shelves.
My favorite for this fall is an oversized, relaxed sweater that can be incorporated to your weekend and workday.  You can have this look with your favorite pair of jeans or spoof it up with a skirt or dress for those classy office days. You can achieve comfort while looking fabulous.
For those chillier days, the  absolute must-have this season is the leather MOTO jacket and feel free to go wild again with colors and let your true personality shine.  Remember to keep it light and chic, whether running errands or a flirty night out on the town.
I love the femininity that this season brings with its African and animal prints, floral patterns and my all-time favorite polka dots.  Polka dots are truly a timeless trend that keeps making an appearance just when we think ‘time to get rid of these polka dots’ that never seems to want to leave.  Although I am personally excited those African prints that have never really gone anywhere in the first place, exemplifying the beauty of the African culture and its traditions.  This season it’s all about self-expression, don’t let your identity get lost and shuffled in the crowd. The bold ethnic-print is here to stay this season and designers everywhere are catching on and fast.
Feel free to share your culture fashion inspired moments, from one closet to the next!

KOCHA WA UJERUMANI ASEMA KAMBI YAKE SIO HOSPITALI.


Kocha wa Ujerumani Löw asema kambi yake siyo hospitali

Kocha wa timu ya Ujerumani Joachim Löw amepuuzilia mbali madai kuwa kambi yake ya mazoezi nchini Italia inafanana na hospitali kutokana na idadi ya wachezaji waliojeruhiwa, akisema hali itaimarika hivi karibuni

Thomas Müller und Joachim Loew
Wachezaji kadhaa akiwemo nahodha Philip Lahm, mlinda lango Manuel Neuer na kiungo Bastian Schweinshteiger wote wanaendelea kupata nafuu. Löw amesema kila mchezaji atakuwa katika hali nzuri katika siku chache zijazo.
Lahm na Neuer wanapona majeraha yao na bado hawajaanza mazoezi, wakati Schweinsteiger na beki Marcel Schmelzer akiendelea kufanya mazoezi ya kibinafsi katika kambi yao ya kaskazini mwa ITALIA.
Löw amesema wataelekea Brazil wakiwa na timu imara na yenye ushindani mkubwa. Wachezaji sasa wanafanya mazoezi yao vyema na ameridhika na namna mambo yalivyo kwa sasa.
Wakati huo huo, Sami Khedira, kiungo wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 27 anasema ni wakati kwanza wa kusherehekea La Decima kabla ya kuweka fikra zake kwa Kombe la Dunia.
Khedira alirejea katika kikosi cha Carlo Ancelotti baada ya kuwa mkekani kwa muda mrefu kwa ajili ya jeraha alilopata mwezi Novemba mwaka jana wakati akiichezea timu ya taifa Ujerumani. Khedira alijaza pengo la Xabi Alonso katika fainali dhidi ya Atletico Madrid na akacheza kwa muda wa saa moja. Khedira alikumbuka namna Sergio Ramos alivyookoa jahazi katika fainali kwa kufunga goli katika za mwisho mwisho kabisa.
Mwandishi: Bruce Amani/AFP/DPA/AP
Mhariri: Yusuf Saumu

UPIGAJI KURA MISRI


Wapiga kura 53 Milioni wa Misri Wamchagua Rais Mpya

Wamisri wameanza kuteremka vituoni kupiga kura katika uchaguzi wa rais utakaofanyika siku mbili ambao mkuu wa zamani wa vikosi vya wanajeshi Abdel Fatah al-Sissi-mpinzani mkubwa wa Udugu wa kiislam anatarajiwa kushinda.

Jemedari mstaafu Abdel Fatah al Sissi
Uchaguzi huo wa rais utakaoendelea kwa muda wa siku mbili unashindaniwa na kiongozi wa zamani wa wanajeshi Abdel Fatah al Sissi na kiongozi wa chama cha mrego wa shoto Hamdeen Sabbahi.Wadadisi wanakubaliana Sabbahi hana nafasi ya kujikusanyia idadi ya maana ya kura.
Jemedari mstaafu el Sissi mwenye umri wa miaka 59 ndie anaeongoza serikali ya mpito iliyoundwa baada ya kumtimua madarakani na baadae kumtia ndani rais aliyechaguliwa kwa njia za kidemokrasi Mohammed Mursi,miezi kama 11 hivi iliyopita. Zaidi ya hayo Abdel Fatah al Sissi anadhihirika kujivunia imani ya wananchi wengi wa Misri tangu alipovunja nguvu vuguvugu la wafuasi wa Mohammed Mursi wakiwemo pia wafuasi wa Udugu wa kiislam.
Milolongo ya watu wamepiga foleni mbele ya vituo vya uchaguzi vilivyofunguliwa mjini Cairo tangu saa tatu za asubuhi vituo ambavyo vimepangwa kufungwa saa tatu za usiku hii leo.
Wengi wa wananchi wa Misri wanamwangalia Abdel Fatah el Sissi kuwa ndie kiongozi atakaerejesha utulivu baada ya miaka mitatu ya vurugu na mgogoro wa kiuchumi uliofuatia vuguvugu la wapenda mageuzi lililomng'owa madarakani Hosni Mubarak mnamo mwaka 2011.
Shujaa atakaewapatia wananchi mkate wao
Wapiga kura wanapiga foleni kusubiri zamu yao
Mahmoud al Minyawi,mpiga kura mwenye umri wa miaka 66 anasema "amempigia kura " mzalendo"kwasababu anasema "nchi inahitaji nidhamu katika wakati huu wa shida."
Saber Habib mwenye umri wa miaka 64,mkaazi wa Suez,mashariki ya mji mkuu Cairo anasema "wanamtaka kiongozi mwenye nguvu,kuiongoza nchi na kuwapatia wananchi mkate wao."
Samia Chami ambae ni mfanyakazi wa serikali anasema atampigia kura al Sissi ili kumshukuru kwa kuwaondolea Mursi madarakani.
Matokeo ya uchaguzi kabla ya juni tano
Wapinzani wake wanahisi akichaguliwa,basi jeshi litakua linathibitisha linaidhibiti nchi hiyo.Mashirika ya haki za binaadam yanasema serikali ya mpito inayoendeshwa na jeshi ni ya kimabavu hata kuishinda ile iliyokuwa ikiongozwa na Hosni Mubarak.Mara baada ya kupiga kura jemedari huyo wa zamani wa Misri, Abdel Fattah al Sissi amesema ulimwengu mzima unawaangalia wamisri wakiandika ukurasa mpya wa historia yao na kuahidi mustakbal mwema kwa nchi yao.Umati wa watu walimkimbilia kuna waliombusu na wengine kumpa mkono.
Matokeo ya uchaguzi wa rais yanatarajiwa kutangazwa kabla ya Juni tano ijayo.Uchaguzi wa bunge huenda ukaitishwa msimu wa mapukutiko mwaka huu.
Mwandishi:Hamidou Oummilkheir/AFP/Reuters
Mhariri:Yusuf Saumu

    Monday 26 May 2014

    NICKI MINAJ PILLS AND POTIONS. CLICK TO DOWNLOAD.

    AFRIKA MASHARIKI KUONGOZA KWA UKUAJI WA UFISADI.


    Kampuni hewa, ufisadi na ukuwaji uchumi Afrika Mashariki

    Takwimu za mashirika ya fedha duniani zinaonesha kwamba eneo la Afrika ya Mashariki linakuja juu kiuchumi na kwamba huenda likawa kituo kikuu cha ukuwaji wa uchumi katika Afrika iliyo chini ya jangwa la Sahara.
    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameidhinisha malipo yenye utata kwa kampuni mbili za Anglo Leasing.
    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameidhinisha malipo yenye utata kwa kampuni mbili za Anglo Leasing.
    Hata hivyo, uwepo wa ufisadi mkubwa uliotitia katika eneo hilo unatishia ukuwaji wenyewe wa uchumi, na pia ongezeko la ukosefu wa usawa, na mambo yanayotakana nayo - kama vile uhalifu wa kawaida na hata ugaidi.
    Mfano wa kashfa kubwa za kifisadi ambazo zimekuwa zikiandama nchi za eneo hilo ni kama ile ya Anglo-Leasing ya Kenya au za IPTL, Dowans, EPA, na hivi majuzi ya akaunti ya Escrow nchini Tanzania. Haya ndiyo mataifa mawili makubwa miongoni mwa mataifa matano yanaounda sasa kanda ya Afrika ya Mashariki.
    Mifano ya kashfa hizo inaonesha kwamba serikali zimekuwa zikichuma kwa mkono mmoja, na kuzila fedha hizo kwa mkono mwengine kupitia mkururo wa kampuni za ukweli na uongo ambazo hupatiwa tenda za mabilioni ya fedha.
    John Githongo, afisa wa serikali ya Kenya aliyefichua kashfa ya Anglo Leasing.
    John Githongo, afisa wa serikali ya Kenya aliyefichua kashfa ya Anglo Leasing.
    Yanapobainika hayo, serikali hizi hujidai kuja juu kuchukua hatua, lakini kampuni hizo huja juu kuelekea mahakamani ambako mara kadhaa serikali hushindwa na matokeo yake kampuni zikaendelea kufaidi fedha ya walipa kodi.
    Tunajiuliza chimbuko la kampuni za aina hii? Ni zipi nguvu zake? Na je, ni kweli serikali za eneo la Afrika ya Mashariki zina udhaifu huo kwenye mihimili yake ya kisheria kiasi ya kwamba mara nyingi hubwagwa mahakamani kwenye kesi za namna hii? Kubwa kuliko yote: Je, Afrika ya Mashariki bila ya ufisadi inawezekana?
    Washiriki:
    1. Mbunge David Kafulila kutoka Tanzania, ambaye hivi majuzi tu aliibua kile kilichopewa jina la kashfa ya akaunti ya Escrow, ambayo inatajwa kumeza shilingi bilioni 200. Tayari Ofisi ya Mkaguzi wa Serikali na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini humo zinasemekana kuanza kazi ya kuchunguza madai hayo.
    2. Koigi Wamwere kutoka Kenya, ambaye aliwahi kuwa waziri msaidizi anayeshughulikia mawasiliano na habari katika serikali ya chama cha NARC, ambayo iliingia madarakani kwa kaulimbiu ya kulimaliza kabisa suala la kashfa ya Anglo-Leasing kwa kuwafikisha wahusika kwenye mikono ya sheria. Lakini serikali hiyo chini ya Rais Mwai Kibaki ikamaliza muda wake bila ya kuchukua hatua ya maana na matokeo yake hivi majuzi Rais Uhuru Kenyatta akaagiza deni la shilingi bilioni 1.4 linalodai kampuni mbili za Anglo Leasing lilipwe. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Hazina wa Kenya, Kamau Thugge, tayari deni hilo lilishalipwa tangu tarehe 19 Mei mwaka huu wa 2014.
    3. Foum Kimara kutoka Uingereza, ambaye ni mwanaharataki na mchambuzi wa masuala ya kiuchumi na kijamii, ambaye amekuwa akifuatilia na kuandika sana juu ya mapungufu ya kimfumo katika eneo la Afrika ya Mashariki.
    Muongozaji: Mohammed Khelef
    Mhariri: Josephat Charo

    HOUSE FOR SALE AT KIGAMBONI DAR.

    LOCATION: TUANGOMA  KIGAMBONI

    FEATURES: 4 BEDROOMS , SITTING ROOM, STORE  AND KITCHEN

    PRICE: TSH 150 MIL

    CONTACT: +255 652 314 181

    EMAIL: nijuzetz@gmail.com

    BRAZUCA NDIO JIN RASMI LA KOMBE LA DUNIA BRAZIL.


    Brazuca - mpira wa world cup
    Brazuca ndilo jina la mpira rasmi utakaotumika katika mchuano wa kombe la dunia Brazil hapo 12 mwezi ujao.
    Watengenezaji Adidas pamoja na baadhi ya wachezaji wameusifu kwa shabaha na wepesi.
    Brazil kwenyewe ndiko kuna wasiwasi - na Gwiji wa soka nchini humo Pele anawahimiza raia wenzake warekebishe mambo. Balozi huyo wa soka mwenye umri wa miaka 73 Ametiwa wasiwasi na maandamano ya mara kwa mara ya kupinga matumizi ya hela nyingi za kuandaa kombe la dunia.
    Maandamano hayo yameshangaza wengi kwani Brazil inahusudu na kusifika kwa ubingwa wao wa kusakata kandanda.

    Ushauri

    Pele anasihi maandamano hayo yakome kwani yatawafanya wapenzi wa kandanda wa ng'ambo waliokuwa wanauia kwenda kujionea mchuano huo kughairi.
    Katika mkutano na waandishi habari huko Mexico amenukuliwa kusema, ana taarifa kuwa tayari 25%ya mashabikii wa kigeni wameshavunja safari zao za kwenda Brazil kwa sababu ya maandamano hayo na kama yakiendelea basi wengine wengi huenda wakakata safari hizo na hivyo kuleta hasara ya Brazil kukosa biashara hasa za kitalii.
    Japo Pele anakubaliana nao katika maandamano hayo ya kutaka kuboreshwa kwa huduma za kijamii hasa za matibabu, usafiri na elimu, anasisitiza kuwa timu ya taifa ambayo imeiletea sifa tele nchi hiyo isitumiwe kulipia makosa ya ufisadi unaofanywa na wanasiasa ambao wanalaumiwa kwa maovu mengi ikiwemo kucheleweshwa kwa kukamilika kwa viwanja 12 vya mpira , huku kukiwa zimesalia takriban wiki 3 tu kabla kombe hilo kuanza.
    Brazil ikiwa ndilo taifa lililoshinda kombe la dunia mara nyingi kuliko lengine tena ugenini inakumbwa na shinikizo kubwa la kushinda kombe hilo nyumbani.

    Maandalizi

    Kufikia sasa ni nchi chache tu ambazo tayari zimetaja vikosi vyao ikiwemo hiyo Brazil na Uingereza, ambako, nahodha wa timu hiyo Steven Gerald nae amekuwa akitathmini jinsi kikosi cha timu ya taifa lake kilivyo na wachezaji chipukizi kiasi cha kuogofya.
    Anasema anatumaini kuwa hawatashikwa na mchecheta wa uoga watakapokuwa uwanjani Brazil. Majina yanayotajwa sana katika timu hiyo ya Uingereza ni akina Ross Barkley, Raheem Sterling na Luke Shaw. Nahodha Gerrard amewaomba wachezaji waliokomaa pamoja na yeye mwenyewe wawashauri vyema vijana hao chipukizi watakapokuwa huko safarini kutafuta ubingwa wa dunia katika soka.
    Mechi ya kwanza ya Uingereza watakumbana na wa-italaino hapo juni 15 katika uwanja ulioko eneo la msitu wa nyika ya Amazon kunakojulikana kuwa na joto si haba.
    Nasi hapa kikosi cha BBC michezo tukapopasha kila joto hilo la kombe la dunia litakavyokuwa linapanda, huku Afrika tukiwakilishwa na Aljeria , Nigeria, Ghana, Cameroon na IVORY Coast .

    clouds stream