Tuesday 24 June 2014

NITAJUTA- MKUBWA NA WANAWE

UHOLANZI KUKUTANA NA MEXICO


Uholanzi kuvaana na Mexico mkondo wa pili
Uholanzi ilimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye kundi B kufuatia ushindi wa mabao 2-0 katika mechi yao ya mwisho ya makundi.
Mabao ya Uholanzi yaliyofungwa na Leroy Fern na Memphis Depay yaliyowapa ushindi dhidi ya Chile katika mechi ngumu iliyochezewa jijini Sao Paulo.
Mechi hiyo ilikosa msisimko na kuishia sufuri bin suifuri kufikia muda wa mapumziko ,Lakini Fer alifunga kwa kichwa katika dakika ya 77, kabla ya Depay kufunga katika dakika ya mwisho.Timu zote mbili zilikuwa tayari zimefuzu kwa raundi ya pili baada ya kushinda mechi zao za kwanza dhidi ya Uhispania na Australia.
Huenda Chile wakachuana na Brazil katika mechi za muondoano, huku upande wa Luiz Van Gaal ukitarajia kuchuana na aidha Mexico au Croatia.
Uholanzi ilikuwa bila mshambulizi Robin Van Persie ambaye alikuwa anatumikia marufuku baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano.
Uholanzi kuvaana na Chile mkondo wa pili
Chile nayo ilimpumzisha kiungo cha kati Arturo Vidal ambaye kukosekana kwake kuliadhiri mchezo, kwani ilichukua muda kabla ya walinda lango kuugusa mpira.
Mshambulizi wa Barcelona Alexis Sanchez alionekana kutaka kufunga bao la kwanza kwa Chile kwa weledi wake na pasi ambazo ziliwahangaisha mabeki wa Uholanzi kwa muda.
Arjen Robben alikuwa karibu kuendeleza rekodi yake ya kufunga bao katika kila mechi baada ya mkwaju wake kukosa lango.
Ilikuwa hadi dakika ya 65 wakati mlindalango Jasper Cillessen alipolazimika kuokoa mkwaju wa Sanchez uliopigiwa karibu na lango.
Hilo liliwatia waholanzi motisha na kumfanya Robben kupiga mkwaju uliomlenga Claudio Bravo katika lango la Chile baada ya kuwapiga chenga mabeki kabla ya Depay kuokoa kutoka kwa mlindalango kwa kuondoa katika maeneo ya hatari.
Kufutia ushindi huo Uholanzi wanatuchana na mshindi wa pili katika kundi A yaani Mexico.
Huku Chile ikiratbiwa kuvaana na mshindi wa kundi A yaani Brazil katika mechi za maondoano .

MAUJI ZAIDI YAWAKUTA WAKENYA


Mashambulizi ya Mepeketoni yalisababisha vifo vya watu 60
Takriban watu watano wameuawa katika shambulizi lengine katika eneo la pwani ya Kenya.
Mauaji hayo yametokea karibu na eneo ambako mashambulizi mengine yalifanyika wiki jana na kusababisha vifo vya watu zaidi ya sitini.
Maafisa wanasema kuwa kundi la watu waliokuwa wamejihami walivamia kijiji cha Witu ambacho kiko umbali wa kilomita 15 kutoka mji wa Mpeketoni.
Hakuna aliyedai kufanya mashambulizi hayo hadi kufikia sasa.
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia, al-Shabab lilikiri kufanya mashambulizi ya wiki jana katika mji wa Mpeketoni karibu na Lamu.
Rais Uhuru Kenyatta, hata hivyo aliwalaumu wanasiasa kwa mauaji hayo.
Mkuu wa jimbo la Lamu, Stephen Ikua, alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo usiku wa kuamkia leo.
Al-Shabab, lilisema kuwa mashambulizi ya hapo awali yalikuwa ya kulipiza kisasi kwa kuwepo wanjeshi wa Kenya nchini Somalia.
Ndege za kivita za Kenya zilifanya mashambulizi mengine dhidi ya kambi za wapiganaji wa Al Shabaab na kuwaua wapiganaji 80 mwishoni mwa wiki.

HOUSE FOR IMMEDIATE SALE AT BUNJU













HOUSE FOR SALE AT BUNJU A.

LOCATION: BUNJU A

FEATURES: 3 BEDROOMS, BLOCK FENCE, DINNING, KITCHEN AND STORE ROOM

AREA: SQM 400

PRICE: TSH 100 MIL

CONTACT: 0652 314181

EMAIL: nijuzetz@gmail.com



HOUSE FOR SALE AT BUNJU

LOCATION: BUNJU MWEMBENI

FEATURES: 2 BEDROOMS, SITTING ROOM, KITCHEN, DINNING ROOM AND STORE. WIRE FENCED

AREA: SQM 686

PRICE: TSH 80 MIL.

CONTACT: +255 652 314181 


Friday 20 June 2014

PLOTS FOR SALE

1. PLOT AND A HOUSE FOR SALE

LOCATION: MBEZI MALAMBA MAWILI
AREA: 20*18 SQM AND HOUSE HAS TWO BEDROOMS.
PRICE: TSHS 13 MILLION ONLY

2. PLOT FOR SALE AT BAGAMOYO.

LOCATION: BAGAMOYO
AREA: 600 SQM AND ABOVE
PRICE RANGE: TSHS 15 TO 25 MIL

3. PLOT FOR SALE

LOCATION: MBEZI MWISHO
PRICE: TSHS 12 MIL NEGOTIABLE

CONTACT: +255 652 31 41 81

EMAIL: nijuzetz@gmail.com

HOUSE FOR SALE AT SINZA MORI

LOCATIONS: SINZA MORI NEAR WANYAMA HOTEL

FEATURES: 3 BEDROOMS ONE BEING MASTER BEDROOM, KITCHEN, DINNING, STORE ROOM A SERVANT QUARTERS AND WELL FENCED

AREA: 460SQM

PRICE: TSHS 270 MIL NEGOTIABLE.

CONTACT: +255 652 31 41 81

EMAIL: nijuzetz@gmail.com





TEN PLACES YOU SHOULDN'T VISIT.

10

Great Pacific Garbage Patch

Pacific Ocean


Plastic1
The Great Pacific Garbage Patch, also described as the Pacific Trash Vortex, is a gyre of marine litter in the central North Pacific Ocean located roughly between 135° to 155°W and 35° to 42°N. Most current estimates state that it is larger than the U.S. state of Texas, with some estimates claiming that it is larger than the continental United States, however the exact size is not known for sure. The Patch is characterized by exceptionally high concentrations of pelagic plastics, chemical sludge, and other debris that have been trapped by the currents of the North Pacific Gyre. The patch is not easily visible because it consists of very small pieces, almost invisible to the naked eye, most of its contents are suspended beneath the surface of the ocean. This is not a place the average Joe would want to visit.
9
Izu Islands
Japan
Screen Shot 2010-03-22 At 12.26.39 Pm
The Izu Islands are a group of volcanic islands stretching south and east from the Izu Peninsula of Honsh?, Japan. Administratively, they form two towns and six villages; all part of Tokyo. The largest is Izu ?shima, usually called simply ?shima. Because of their volcanic nature, the islands are constantly filled with the stench of sulfur (extremely similar to the smell of thousands of farts). Residents were evacuated from the islands in 1953 and 2000 due to volcanic activity and dangerously high levels of gas. The people returned in 2005 but are now required to carry gas masks with them at all times in case gas levels rise unexpectedly.
8
The Door to Hell
Turkmenistan
Img 2526
Address: Derweze, Turkmenistan
This has featured on listverse before, but it would be remiss of us to exclude it from this list. While drilling in Derweze in Turkmenistan in 1971, geologists accidentally found an underground cavern filled with natural gas. The ground beneath the drilling rig collapsed, leaving a large hole with a diameter of about 50-100 meters. To avoid poisonous gas discharge, scientists decided to set fire to the hole. Geologists had hoped the fire would go out in a few days but it has been burning ever since. Locals have named the cavern The Door to Hell. As you can see from the picture above, it is one hell of an amazing place, but certainly one you wouldn’t want to visit.
7
Alnwick Poison Gardens
England
Alnwick-Poison-Gardens.2289.Full
Address: Denwick Lane, Alnwick, NE66 1YU, England
Inspired by the Botanical Gardens in Padua, Italy (the first botanical garden which was created to grow medicinal and poisonous plants in the 1500s), the Alnwick Poison Garden is a garden devoted entirely to plants that can kill. It features many plants grown unwittingly in back gardens, and those that grow in the British countryside, as well as many more unusual varieties. Flame-shaped beds contain belladonna, tobacco and mandrake. The Alnwick Garden has a Home Office license to grow some very special plants; namely, cannabis and coca which are found behind bars in giant cages – for obvious reasons.
6
Asbestos Mine
Canada
Screen Shot 2010-03-22 At 10.51.06 Am
Address: Thetford-Mines, Quebec, Canada
Asbestos is a set of six naturally occurring silicate minerals highly prized for their resistance to fire and sound absorption abilities. On the downside, exposure to this stuff causes cancer and a variety of other diseases. It is so dangerous that the European Union has banned all mining and use of asbestos in Europe. But, for those curious enough to want to get close to the stuff, all is not lost. In Canada at the Thetford Mines, you can visit an enormous open pit asbestos mine which is still fully operational. The workers in the mines aren’t required to wear any sort of respiratory protection, and in some sections of the nearby town, residential areas are butted right next up against piles of asbestos waste. The mine offers bus tours of the deadly environment during the summer months. Tickets are free (would you expect it to be any other way?). If you decide to visit, don’t forget your full body bio-hazard suit.
5
Ramree Island
Burma
800Px-Saltwater Crocodile On A River Bank
Ramree Island in Burma is a huge swamp home to 1000s of salt water enormous salt water crocodiles, the deadliest in the world. It is also home to malaria carrying mosquitos, and venomous scorpions. During the Second World War, the island was the site of a six week battle in the Burma campaign. Here is a description of one of those horrifying nights: “That night [of the 19 February 1945] was the most horrible that any member of the M.L. [motor launch] crews ever experienced. The scattered rifle shots in the pitch black swamp punctured by the screams of wounded men crushed in the jaws of huge reptiles, and the blurred worrying sound of spinning crocodiles made a cacophony of hell that has rarely been duplicated on earth. At dawn the vultures arrived to clean up what the crocodiles had left…Of about 1,000 Japanese soldiers that entered the swamps of Ramree, only about 20 were found alive.”
4
Yungas Road
Bolivia
Death-Road
The North Yungas Road (Road of Death or Death Road) is a 61 kilometres (38 mi) or 69 kilometres (43 mi) road leading from La Paz to Coroico, 56 kilometres (35 mi) northeast of La Paz in the Yungas region of Bolivia. It is legendary for its extreme danger with estimates stating that 200 to 300 travelers are killed yearly along it. The road includes crosses marking many of the spots where vehicles have fallen. The road was built in the 1930s during the Chaco War by Paraguayan prisoners. It is one of the few routes that connects the Amazon rainforest region of northern Bolivia, or Yungas, to its capital city. Because of the extreme dropoffs of at least 600 metres (2,000 ft), single-lane width – most of the road no wider than 3.2 metres (10 ft) and lack of guard rails, the road is extremely dangerous. Further still, rain, fog and dust can make visibility precarious. In many places the road surface is muddy, and can loosen rocks from the road.
3
Mud Volcanoes of Azerbaijan
Azerbaijan
Imgp5982
In the Spring of 2001, volcanic activity under the Caspian Sea off the Azeri coast created a whole new island. In October 2001 there was an impressive volcanic eruption in Azerbaijan at Lokbatan, but there were no casualties or evacuation warnings. But Azerbaijan does not have a single active volcano, at least not in the usual sense of the word. What Azerbaijan does have is mud volcanoes – hundreds of them. Mud volcanoes are the little-known relatives of the more common magmatic variety. They do erupt occasionally with spectacular results, but are generally not considered to be dangerous – unless you happen to be there at the wrong time: every twenty years or so, a mud volcano explodes with great force, shooting flames hundreds of meters into the sky, and depositing tonnes of mud on the surrounding area. In one eruption, the flames could easily be seen from 15 kilometers away on the day of the explosion, and were still burning, although at a lower level, three days later.
2
The Zone of Alienation
Eastern Europe
800Px-Pripyat01
The Zone of Alienation is the 30 km/19 mi exclusion zone around the site of the Chernobyl nuclear reactor disaster and is administrated by a special administration under the Ukrainian Ministry of Extraordinary Situations (Emergencies). Thousands of residents refused to be evacuated from the zone or illegally returned there later. Over the decades this primarily elderly population has dwindled, falling below 400 in 2009. Approximately half of these resettlers live in the town of Chernobyl; others are spread in villages across the zone. After recurrent attempts at expulsion, the authorities became reconciled to their presence and even allowed limited supporting services for them. Because of looting, there is a strong police presence – so be warned, if you visit, you may either be shot or get radiation poisoning – and we all know how awful that can be.
1
Ilha de Queimada Grande
Brazil
Screen Shot 2010-03-22 At 12.02.30 Pm
Off the shore of Brazil, almost due south of the heart of São Paulo, is a Ilha de Queimada Grande (Snake Island). The island is untouched by human developers, and for very good reason. Researchers estimate that on the island live between one and five snakes per square meter. That figure might not be so terrible if the snakes were, say, 2 inches long and nonvenomous. The snakes on Queimada Grande, however, are a unique species of pit viper, the golden lancehead. The lancehead genus of snakes is responsible for 90% of Brazilian snakebite-related fatalities. The golden lanceheads that occupy Snake Island grow to well over half a meter long, and they possess a powerful fast-acting poison that melts the flesh around their bites. This place is so dangerous that a permit is required to visit

IVORY COAST KUPOTEZA MECHI DHIDI YA COLOMBIA


Gevinho alifungia Ivory Coast bao la kufutia machozi
Colombia ilipiga hatua kubwa ya kufuzu kwa raundi ya pili ya kombe la dunia baada ya kuilaza Ivory Coast mabao 2-1 katika mechi yao kali ya kundi C, iliyochezwa katika uga wa Estadio Nacional, Brasilia.
James Rodriguez aliiweka Colombia kifua mbele baada ya saa moja kupitia kichwa, naye mchezaji wa akiba Juan Quintero akongeza la pili.

Hata hivyo hawakuweza kusawazisha.Bao lake Gervinho liliwapa Ivory Coast matumaini.
Timu zote mbili zilikua zimeshinda mechi zao za kwanza za ya kombe la dunia.
Mfungaji bao la Colombia Rodriguez
Mkufunzi wa Colombia, Jose Pekerman alitumia kikosi kile kile alichokitumia katika mechi ya kwanza walipoishinda Ugiriki mabao 3-0.
Ivory Coast, tena walimwacha nje Didier Drogba akiuguza jeraha la paja, hata ingawa alicheza mchezo mzuri walipowashinda Japan 2-1 katika mechi yao ya kwanza huko Recife.
Ivory Coast sasa wanahitaji kushinda mechi yao ya mwisho dhidi ya Ugiriki ilikuwa na matumaini ya kumaliza katika nafasi ya pili ya kundi hilo na kusonga mbele katika hatua ya maondoano.
Colombia inaongoza kundi hilo ikiwa na jumla ya alama 6 huku Ivory Coast ikiwa ya pili na alama 3 kufuatia ushindi wao wa kwanza dhidi ya Japan.
Teofilo Gutierrez ndiye aliyetangulia kushambulia katika eneo la penalti la The Elephants wa Ivory Coast.
Mlinzi wa The Elephants, Didier Zokora alizuia shambulizi la Juan Cuadrado baadaye.
Kibofu kilitupwa uwanjani na mashabiki wa Colombia
Serge Aurier, mlinzi wa Ivory Coast anayehusishwa na uhamiaji kwa timu ya Arsenal, alipiga shuti kutoka yadi 18 nao ukaokolewa kwa urahisi na kipa wa Colombia, David Ospina.
Katika kipindi cha pili, refa muingereza, Howard Webb, alikataa wito wa penalti kwa timu ya Ivory Coast baada ya Gervinho kuangushwa na Mario Yepes, nahodha wa Colombia.
Katika dakika ya 55, Zokora alionyeshwa kadi ya manjano baada ya kumkosea Cuadrado hivyo basi hataucheza mchuano wa mwisho wa makundi dhidi ya Ugiriki.
Colombia ilichukua uongozi katika dakika ya 64 baada ya mshambulizi wa Monaco, Rodriguez kufunga bao kwa kichwa baada ya kona.
Mashabiki wa Colombia
Muda mfupi baada ya hapo, The elephants walifanya mabadiliko mengine.
Salomon Kalou aliingia katika nafasi ya Max Gradel.Hata hivyo, Colombia walifunga bao la pili katika dakika ya 70.
Gutierrez alimpa Juan Quintero pasi wawili hao walipoishambulia safu ya ulinzi ya Ivory Coast.
Quintero aliuchukua mpira nje ya eneo la penalti na kuupiga kwenye wavu wa The Elephants.
Dakika tatu baadaye, Gervinho alifunga bao lao la kufutia machozi, ambalo pia ni bao lake la pili katika michuano hii.
Ivory Coast sasa wanahitaji ushindi katika mechi yao ya mwisho dhidi ya Ugiriki ikiwa wana matumaini ya kuendelea mbele katika michuano hii ya kombe la dunia.

clouds stream