Sunday 28 May 2017

Simba SC Bingwa Kombe La ASFC

Wachezaji na viongozi wa Simba SC wakifurahia taji a Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania Bara (ASFC) msimu wa 2016/17
IMG-20170426-WA0006
Wachezaji na viongozi wa Simba SC wakifurahia taji a Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania Bara (ASFC) msimu wa 2016/17.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (ASFC), Nahodha wa klabu ya Simba SC Jonas Mkude baada ya kuitandika Mbao FC kwa mabao 2-1 baada ya muda wa nyongeza.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (ASFC), Nahodha wa klabu ya Simba SC Jonas Mkude baada ya kuitandika Mbao FC kwa mabao 2-­1 baada ya muda wa nyongeza.
Nahodha wa Simba SC Jonas Mkude akipokea hundi ya Shilingi milioni 50 ikiwa ni zawadi ya bingwa wa ASFC
Nahodha wa Simba SC Jonas Mkude akipokea hundi ya Shilingi milioni 50 ikiwa ni zawadi ya bingwa wa ASFC.
Mkwaju wa penalti wa Shiza Kichuya katika muda wa nyongeza ulioipa taji kabla yake mbele ya Mbao FC kwa mabao 2-1.
Mkwaju wa penalti wa Shiza Kichuya katika muda wa nyongeza ulioipa taji kabla yake mbele ya Mbao FC kwa mabao 2-­1.
Shiza Kichuya akiiunuliwa juu baada ya ushindi huo.
Shiza Kichuya akiinuliwa juu baada ya ushindi .
Shabiki wa Simba akiwa na msumeno bandia ulioandikwa maneno ya kuisuta Mbao FC
Shabiki wa Simba akiwa na msumeno bandia ulioandikwa maneno ya kuisuta Mbao FC.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifuatilia fainali hizo.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akifuatilia mpambano huo.
Mshambuliaji wa Ivory oast Fredrick Blagnon aliyetokea benchi na kuipa Simba SC bao la kuongoza akishangilia.
Mshambuliaji wa Ivory oast Fredrick Blagnon aliyetokea benchi na kuipa Simba SC bao la kuongoza akishangilia.
Wafungaji wa mabao wa Simba SCBlagnon na Kichuya wakipongezana baada ya kazi nzito.
Wafungaji wa mabao wa Simba SCBlagnon na Kichuya wakipongezana baada ya kazi nzito.
Fainali za ASFC msimu wa 2016/17 upande wa mashabiki
Upande wa mashabiki.
Manyika
Mlinda mlango chaguo la tatu la Simba SC Peter Manyika Jr akiwafariji wachezaji wa Mbao FC baada ya kumalizika kwa fainali.

DAVID BECKHAM YUKO NCHINI KWA AJILI YA UTALII

IMG-20170426-WA0006
 Kiungo nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham yupo nchini kwa ajili ya shughuli za utalii.

Beckham akiwa na familia yake, ametua nchini jana usiku na leo huenda akaingia mbugani kwa ajili ya shughuli za utalii.

Raia huyo wa England ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid, AC Milan na LA Galaxy alionekana yuko chini ya uangalizi wa wenyeji wake alipotua.

ARSENAL ILIVYOITWANGA CHELSEA 2-1 NA KUBEBA KOMBE LA FA

IMG-20170426-WA0006

ARSENAL: Ospina, Holding, Mertesacker, Monreal, Bellerin, Ramsey, Xhaka, Oxlade-Chamberlain (Coquelin 82), Sanchez (Elneny 90+3), Ozil, Welbeck (Giroud 78).
Subs not used: Cech, Iwobi, Perez, Walcott.
Booked: Holding, Ramsey, Xhaka, Coquelin.
Scorers: Sanchez 4, Ramsey 79.


CHELSEA: Courtois, Azpilicueta, Luiz, Cahill, Moses, Kante, Matic (Fabregas 61), Alonso, Pedro (Willian 72), Costa (Batshuayi 88), Hazard. 
Subs not used: Begovic, Zouma, Ake, Terry.
Booked: Kante.
Sent off: Moses. 
Scorer: Costa 76.
 
Referee: Anthony Taylor (Cheshire)















Trump 'atengwa' na wenzake G7

Rais Trump ametengwa na wenzake kuhusiana na makubaliano ya tabia nchi yaliofakiwa mjini Paris

Rais Trump ametengwa na wenzake kuhusiana na makubaliano ya tabia nchi yaliofakiwa mjini Paris
IMG-20170426-WA0006

Viongozi katika mkutano wa G7 wametofautiana kuhusu taarifa ya mabadiliko ya tabia nchi.

Viongozi sita walikubaliana kuunga mkono makubaliano ya mjini Paris ,ambayo ni ya kwanza yanayolenga kupunguza hewa chafu.

Hatahivyo Marekani imekataa kukubaliana ikisema kuwa itatoa uamuzi wake wiki ijayo.

Bwana Trump ambaye alidai kwamba ongezeko la joto duniani ni ''mzaha'' mara kwa mara ametishia kujiondoa katika makubaliano hayo.

Huu ni mkutano wa kwanza wa G7 kuhudhuriwa na Trump katika ziara yake ya kwanza ya kigeni.

Viongozi wa G7 kutoka Uingereza, Marekani ,Canada Ufaransa ,Ujerumani ,Italy na Japan wamekubaliana kuhusu kukabilina na ugaidi .

Kwa nini hakuna makubaliano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi?

Tarifa ya mwisho iliotolewa katika mkutano huo unaofanyika nchini Itali ilisema kuwa Marekani iko katika harakati ya kufanyia marekebisho sera zake, hivyobasi kuhusu makubaliano ya Paris haitajiunga na mataifa mengine kukubaliana na swala hilo.

Hatahivyo mataifa hayo ya G7 yaliapa kuonyesha umoja wao katika kuidhinisha makubaliano hayo ya Paris.

Kansela wa Ujerumani alisema kuwa ''mazungumzo kuhusu mabadiliko ya tabia nchi hayaridhishi ,akiongezea kuwa kuna hali ya mataifa sita dhidi ya ya taifa moja''.

TANZIA: Meya Wa Urambo, Peter Sitta Afariki Dunia



18698161_1494209947309661_7629695579938813421_n
IMG-20170426-WA0006

Meya wa Mji Mdogo wa Urambo, Ndg. Peter Sitta amefariki dunia katika Hospitali ya Hindu Mandal alikokuwa amelazwa akitibiwa.

Marehemu Peter Sitta ni ndugu wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, marehemu Samuel Sitta.

KAGAME ATANGAZA KUACHIA MADARAKA RWANDA

Rais wa Rwanda, Paul Kagame.

IMG-20170426-WA0006

Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kuwa ukomo wa utawala wake utakuwa mwaka 2024 na kuwataka Raia wa Rwanda kuanza kuanza kufikiria mtu mwingine baada ya muda huo.

Rais Kagame amethibitisha taarifa hizo kupitia mtandao wa Jeune Afrique kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu nchini Rwanda unaotarajiwa kufanyika Agosti 3 mwaka huu na kusema kuwa awamu hii ya miaka saba ndiyo ya mwisho na Wanyarwanda wanatakiwa waanze kufikiria mtu mwingine atakayewaongoza baada ya mwaka 2024.

“Inawezekana natakiwa niliangazie suala hili katika siku chache zijazo nitakapoanza mbio za urais. Kuna aina ya makubaliano kati yangu mimi na RPF­Inkotanyi kwa upade mmoja, na raia wa Rwanda kwa upande mwingine,” amesema Kagame.

“Raia, kupitia kura ya maoni ya Disemba 2015, waliniomba niendelee kuwaongoza nikakubali, ila muda mwafaka wa kupumzika umewadia na waomba waanze kufikiri nje ya mimi baada ya miaka saba,” ameongeza Kagame kwenye mahojiano yake na mtandao wa Jean Afrique.

Kwa sasa hakuna shaka yoyote kuwa Rais Kagame atashinda uchaguzi wa urais mwaka huu na ni ushindi ambao umekuwa ukitabiriwa kwa muda mrefu na Wanyarwanda.

Mwaka 2015 Wanyarwanda wapatao milioni 4 ambao ni zaidi ya asilimia 70% ya wapiga kura, walipaza sauti zao kulitaka Bunge lirekebishe katiba ili Kagame apate nafasi ya kuendelea kutawala.

Bunge lilifanya hivyo ili limruhusu rais huyo ambaye ana umri wa miaka 59 kuwania awamu zingine mbili hadi mwaka 2024.

Friday 26 May 2017

Simu Mpya Za Kisasa Za Nokia 3310 Zaingia Madukani

_94853899_001

IMG-20170426-WA0006

Simu za Nokia 3310 zimeanza kuuzwa tena madukani, takriban miaka 17 baada ya simu hizo kuanza kuuzwa mara ya kwanza.

Simu za sasa zina kamera ya megapikseli mbili na zinategemea teknolojia ya 2.5G kumpa mteja huduma ya kiwango cha chini sana cha mtandao wa Intaneti.

Simu hiyo inauzwa £49.99 (Dola 65). Betri za simu hizo zinadaiwa kudumu kwa saa 22 mtu akiitumia kuzungumza, na inaweza kukaa na chaji kwa hadi mwezi mmoja iwapo mtu hatakuwa anaitumia.

Mtaalamu mmoja amesema ufanisi wa simu hiyo utategemea sana hamu ya watu kutaka kulipia kifaa hicho ambacho wengi bado hukikumbuka kwa mazuri yake.

Watu wengi walizipenda sana simu za Nokia 3310 kutokana na uthabiti wake na uwezo wa kukaa na chaji.

“Kwa mtu kama mimi, siku ya leo ni ya furaha sana,” amesema Ben Wood, kutoka kwa kampuni ya masuala ya teknolojia ya CCS Insight.

“Ukiweka simu hii mikononi mwa mtu aliyebalehe karne ya 21 ambaye uraibu wake ni kukaa Snapchat, bila shaka utakuwa umekosea,” ameongeza.

SERIKALI YAWAPA AHUENI WANANCHI KUMILIKI ARDHI

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi.

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi.
IMG-20170426-WA0006

Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetangaza kupunguza tozo ya mbele ya thamani ya ardhi kutoka asilimia 7.5 hadi 2.5 kuanzia Julai Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi alisema hayo Bungeni Dodoma jana wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.

Katika hotuba yake Lukuvi alisema punguzo hilo ni sawa na asilimia 67 ya tozo hiyo, hali itakayowasaidia wananchi kumiliki mashamba na viwanja vilivyopimwa.

Alisema lengo la kufuta tozo hizo ni kuwezesha wengi kumiliki maeneo yao kwa gharama nafuu na kupanua wigo wa walipa pango la ardhi.

“Ada hii hutozwa mara moja wakati wa umilikishwaji ardhi kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999. Kupunguzwa kwake kutavutia wananchi wenye maeneo ya ardhi kujitokeza kwa wigi zaidi kupimiwa viwanja na kumilikishwa ardhi yao,” alisema.

Alisema pia kupunguzwa kwa tozo hiyo kutapunguza gharama kubwa za sasa za viwanja na kufanya wengi kumudu kumiliki viwanja vilivyopimwa

Sakata La Mchanga Wa Madini, Kigogo TMAA Ajisalimisha Takukuru

Mtendaji Mkuu wa TMAA  Dominic Rwekaza.

IMG-20170426-WA0006

Mtendaji Mkuu wa TMAA Dominic Rwekaza. Mtendaji Mkuu wa TMAA aliyesimamishwa kazi na Rais Dkt.John Pombe Magufuli Dominic Rwekaza anadaiwa kuripoti katika ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) jijini Dar es salaam jana.

Kwa mujibu wa chanzo kimoja kutoka ndani ya Takukuru kimebainisha kuwa Kigogo huyo amefika katika taasisi hiyo kwa mahojiano kufuatia kushindwa kusimamia ipasavyo sekta ya Madini hivyo kupelekea nchi kupata hasara.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Valentino Mlowola amesema watendaji wote wanaodaiwa kuhusika katika sakata la kuzembea kudhibiti biashara ya kusafirisha mchanga wa dhahabu nje ya nchi, watachunguzwa na taasisi yake.

Mlowola aliongeza kuwa watendaji ambao walihusika kwenye sakata hilo na sasa hivi hawapo madarakani au wanashikilia nyadhifa nyingine, nao lazima watahojiwa na taasisi hiyo ili kufahamu sababu ya kuruhusu taifa kupata hasara kubwa kiasi hicho.

Watendaji hao ni wanaofanya kazi Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Wizara ya Nishati na Madini na taasisi nyingine zinazohusika na madini.

“Maelekezo ya Rais yalikuwa wazi kabisa kwetu na sisi tumeshaanza uchunguzi wetu,” alifafanua Mlowola.

Rais Magufuli aliagiza vyombo vya dola kuwachunguza Mtendaji Mkuu wa TMAA, Rwekaza na watendaji wengine wanaohusika na eneo hilo la usafirishaji makinikia.

Sakata la mchanga wa dhahabu pia limeng’oa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kwa kushindwa kujenga kinu cha kuchenjulia mchanga wenye mchanganyiko wa madini.

Wednesday 24 May 2017

JPM Amtaka Profesa Muhongo Kuachia Ngazi

Profesa-Sospeter-Muhongo
IMG-20170426-WA0006
Rais Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ajipime, ajifikirie na haraka sana aachie ngazi kufuatia ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kuchunguza makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa iliyowasilishwa leo Ikulu.
“Profesa Muhongo ni rafiki yangu lakini kwa hili ajifikirie, ajipime na ningependa ajiuzulu mara moja,” amesema Rais Magufuli aliyeoneka kukasirishwa na ripoti hiyo.
Amesema mapendekezo yote tisa yaliyopendekezwa na kamati hiyo yamekubaliwa na kuivunja maramoja Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na kuagiza vyombo vya dola vikishirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuanza kuwafatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa ajili ya hatua za kisheria kuanzia leo.
“Inaumiza sana kuona tunapambana kutafuta pesa hata kwa kukopa, kumbe kuna hela tumeziacha zinamwagika huko, inaumiza sana,” amesema Rais Magufuli.
Aidha, ameagiza vyombo vya dola na TAKUKURU kuwachunguza baadhi ya watendaji wa Wizara ya Madini waliokuwa wakihusika na madini na kumtaka, Kamishna wa Madini wa Zamani na kuwachukulia hatua mara moja.
Awali akiwasilisha ripoti hiyo mbele ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema Serikali inapoteza kati ya Shilingi 829.4 bilioni na Sh1.439 trilioni wakati wa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
Prof Mruma amemkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uchunguzi wa kiwango, aina ya madini kwenye makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa.

JPM Amtaka Profesa Muhongo Kuachia Ngazi

Profesa-Sospeter-Muhongo
IMG-20170426-WA0006
Rais Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ajipime, ajifikirie na haraka sana aachie ngazi kufuatia ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kuchunguza makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa iliyowasilishwa leo Ikulu.
“Profesa Muhongo ni rafiki yangu lakini kwa hili ajifikirie, ajipime na ningependa ajiuzulu mara moja,” amesema Rais Magufuli aliyeoneka kukasirishwa na ripoti hiyo.
Amesema mapendekezo yote tisa yaliyopendekezwa na kamati hiyo yamekubaliwa na kuivunja maramoja Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na kuagiza vyombo vya dola vikishirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuanza kuwafatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa ajili ya hatua za kisheria kuanzia leo.
“Inaumiza sana kuona tunapambana kutafuta pesa hata kwa kukopa, kumbe kuna hela tumeziacha zinamwagika huko, inaumiza sana,” amesema Rais Magufuli.
Aidha, ameagiza vyombo vya dola na TAKUKURU kuwachunguza baadhi ya watendaji wa Wizara ya Madini waliokuwa wakihusika na madini na kumtaka, Kamishna wa Madini wa Zamani na kuwachukulia hatua mara moja.
Awali akiwasilisha ripoti hiyo mbele ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema Serikali inapoteza kati ya Shilingi 829.4 bilioni na Sh1.439 trilioni wakati wa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
Prof Mruma amemkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uchunguzi wa kiwango, aina ya madini kwenye makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa.

JPM Amtaka Profesa Muhongo Kuachia Ngazi

Profesa-Sospeter-Muhongo
IMG-20170426-WA0006
Rais Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ajipime, ajifikirie na haraka sana aachie ngazi kufuatia ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kuchunguza makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa iliyowasilishwa leo Ikulu.
“Profesa Muhongo ni rafiki yangu lakini kwa hili ajifikirie, ajipime na ningependa ajiuzulu mara moja,” amesema Rais Magufuli aliyeoneka kukasirishwa na ripoti hiyo.
Amesema mapendekezo yote tisa yaliyopendekezwa na kamati hiyo yamekubaliwa na kuivunja maramoja Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na kuagiza vyombo vya dola vikishirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuanza kuwafatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa ajili ya hatua za kisheria kuanzia leo.
“Inaumiza sana kuona tunapambana kutafuta pesa hata kwa kukopa, kumbe kuna hela tumeziacha zinamwagika huko, inaumiza sana,” amesema Rais Magufuli.
Aidha, ameagiza vyombo vya dola na TAKUKURU kuwachunguza baadhi ya watendaji wa Wizara ya Madini waliokuwa wakihusika na madini na kumtaka, Kamishna wa Madini wa Zamani na kuwachukulia hatua mara moja.
Awali akiwasilisha ripoti hiyo mbele ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema Serikali inapoteza kati ya Shilingi 829.4 bilioni na Sh1.439 trilioni wakati wa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
Prof Mruma amemkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uchunguzi wa kiwango, aina ya madini kwenye makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa.

JPM Amtaka Profesa Muhongo Kuachia Ngazi

Profesa-Sospeter-Muhongo
IMG-20170426-WA0006
Rais Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ajipime, ajifikirie na haraka sana aachie ngazi kufuatia ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kuchunguza makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa iliyowasilishwa leo Ikulu.
“Profesa Muhongo ni rafiki yangu lakini kwa hili ajifikirie, ajipime na ningependa ajiuzulu mara moja,” amesema Rais Magufuli aliyeoneka kukasirishwa na ripoti hiyo.
Amesema mapendekezo yote tisa yaliyopendekezwa na kamati hiyo yamekubaliwa na kuivunja maramoja Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na kuagiza vyombo vya dola vikishirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuanza kuwafatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa ajili ya hatua za kisheria kuanzia leo.
“Inaumiza sana kuona tunapambana kutafuta pesa hata kwa kukopa, kumbe kuna hela tumeziacha zinamwagika huko, inaumiza sana,” amesema Rais Magufuli.
Aidha, ameagiza vyombo vya dola na TAKUKURU kuwachunguza baadhi ya watendaji wa Wizara ya Madini waliokuwa wakihusika na madini na kumtaka, Kamishna wa Madini wa Zamani na kuwachukulia hatua mara moja.
Awali akiwasilisha ripoti hiyo mbele ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema Serikali inapoteza kati ya Shilingi 829.4 bilioni na Sh1.439 trilioni wakati wa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
Prof Mruma amemkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uchunguzi wa kiwango, aina ya madini kwenye makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa.

JPM Amtaka Profesa Muhongo Kuachia Ngazi

Profesa-Sospeter-Muhongo
IMG-20170426-WA0006
Rais Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ajipime, ajifikirie na haraka sana aachie ngazi kufuatia ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa na Rais Magufuli kuchunguza makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa iliyowasilishwa leo Ikulu.
“Profesa Muhongo ni rafiki yangu lakini kwa hili ajifikirie, ajipime na ningependa ajiuzulu mara moja,” amesema Rais Magufuli aliyeoneka kukasirishwa na ripoti hiyo.
Amesema mapendekezo yote tisa yaliyopendekezwa na kamati hiyo yamekubaliwa na kuivunja maramoja Bodi ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na kuagiza vyombo vya dola vikishirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuanza kuwafatilia wafanyakazi wote wa TMAA kwa ajili ya hatua za kisheria kuanzia leo.
“Inaumiza sana kuona tunapambana kutafuta pesa hata kwa kukopa, kumbe kuna hela tumeziacha zinamwagika huko, inaumiza sana,” amesema Rais Magufuli.
Aidha, ameagiza vyombo vya dola na TAKUKURU kuwachunguza baadhi ya watendaji wa Wizara ya Madini waliokuwa wakihusika na madini na kumtaka, Kamishna wa Madini wa Zamani na kuwachukulia hatua mara moja.
Awali akiwasilisha ripoti hiyo mbele ya Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema Serikali inapoteza kati ya Shilingi 829.4 bilioni na Sh1.439 trilioni wakati wa kusafirisha makinikia nje ya nchi.
Prof Mruma amemkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uchunguzi wa kiwango, aina ya madini kwenye makontena 277 ya makinikia yanayoshikiliwa.

Polisi 4 wauawa katika mlipuko Garissa Kenya

Maafisa wa usalama Garissa

Maafisa wa usalama katika shambulio la 2015 ambapo watu 147 waliuawa katika shambulio la al Shabaab dhidi ya chuo kikuu cha Garissa Kenya

IMG-20170426-WA0006


Maafisa 4 wa polisi wameuawa na wengine 4 kujeruhiwa, mmoja akiwa katika hali mahututi, katika shambulio Jumatano alfajiri eneo la Liboi kaskazini mashariki mwa Kenya karibu na mpaka na Somalia.

Duru za usalama zinaarifu kuwa gari la kijeshi lililokuwa limewabeba maafisa wa usalama wa Kenya lilikanyaga bomu la kutegwa ardhini.

Taarifa katika baadhi ya vyombo vya habari Kenya zinasema kuwa maafisa hao walikuwa wanapiga doria katika eneo la Kulan wakati gari lao lilipokanyaga mlipuko huo.

Maafisa wengine watatu wamejeruhiwa katika shambulio hilo na inaarifiwa wamesafirishwa hadi mjini Nairobi kupokea matibabu maalum.

Awali katika mtandao wa kijamii Twitter - Shirika la msalaba mwekundu limesema: " gari limekanyaga bomu la ardhini na kuwajeruhi watu 8 baina ya Liboi na Kulan, kaunti ya Garissa."Liliendelea kusema kwamba linashughulikia tukio hilo.

Gazeti la Daily Nation linaripoti kuwa maafisa hao walikuwa wanasafiri kwa gari la kituo cha polisi cha Kulan katika barabara ya Liboi - Milan wakati gari hilo lilipokanyaga bomu la kutegwa ardhini.

Inaarifiwa gari hilo liliharibika vibaya.

Makamu wa rais William Ruto ametuma ujumbe katika Twitter akisema, "Waathiriwa wa shambulio la Liboi kaunti ya Garissa wamo mawazoni mwangu. Ni lazima tuujenga ukuta mpakani".

Serikali ya Kenya iliidhinisha ujenzi wa ukuta katika mpaka baina ya Kenya na Somalia kuzuia uhalifu baada ya shambulio la kigaidi dhidi ya chuo kikuu cha Garissa mnamo mwaka 2015.

Tuesday 23 May 2017

Yahya Jammeh aliiba dola milioni 50 kutoka kwa serikali

Jammeh alikimbia kuenda nchini Equitorial Guinea baada ya miaka 22 uongozini.

Jammeh alikimbia kuenda nchini Equitorial Guinea baada ya miaka 22 uongozini.
IMG-20170426-WA0006

Aliyekuwa rais wa Gambia Yahya Jammeh aliiba takriban dola milioni 50 kutoka kwa taifa kabla ya kuondoka nchini humo mwezi Januari, kwa mujibu wa waziri wa sheria.

Jammeh analaumiwa kwa kuiba pesa hizo kupitia kwa kampuni ya mawasiliano ya serikali.

Kwa sasa mahakama imeagiza kutwaliwa kwa mali yake yote yaliyosalia nchini Gambia.

Jammeh alikimbia kuenda nchini Equitorial Guinea baada ya miaka 22 uongozini.

Alishindwa kwenye uchaguzi mwezi Disemba na baadaye kukubali kuondoka madarakani baada ya vikosi vya eneo ilo kutishia kumuondoa madarakani.

Magari ya kifahari na bidhaa zingine ziliripotiwa kuingiza kwenye ndege ya mizgo ya Chad wakati Jammeh alikuwa akiondoka nchini humo.

Pesa hizo zilitajwa kuwa dola milioni 11 na waziri wa masuala ya ndani Mai Ahmad Fatty, ambaye wakati huo alikuwa msaidizi wa rais Adama Barrow.

Lakini siku ya Jumatatu waziri wa sheria Abubacarr Tambadou, alisema kuwa bwana Jammeh aliiba dola milioni 50 kati ya mwaka 2006 na 2016.

Trump kukutana na kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas

Trump kukutana na kiongozi wa Palestina

Trump kukutana na kiongozi wa Palestina

IMG-20170426-WA0006

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukutana na kiongozi wa utawala wa palestina Mahmoud Abbas wakati wa siku ya pili ya ziara yake Mashariki ya Kati

Waisrael na wapalestina hawajafanya mazungumzo ya moja kwa moja kwa zaidi ya miaka mitatu.

Siku ya Jumatatu Trump alisema kuwa kuna ushirikiano mkubwa kati ya Marekani na Israel

Pia alionya juu ya kuwepo kwa tisho la Iran kwa amani ya dunia

Waandamanaji walirusha mawe kupinga ziara ya Trump huko Ukingo wa Magharibi siku ya Jumatatu
Waandamanaji walirusha mawe kupinga ziara ya Trump huko Ukingo wa Magharibi siku ya Jumatatu

Alimuambia waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuwa kamwe Iran haitaruhusiwa kumiliki silaha za nuklia.

Ziara huiyo ya siku mbili nchini Israel na katika utawala wa Palestina ni sehemu ya ziara ya ya kwanza ya kigeni ya bwana Trump.

Rais Trump anajitambua kama mpatanishi mkuu wa kutatua masuala ambayo yamewashinda watu wengi.

Suala kuu ni kubuniwa kwa taifa huru la palestina kando ya Israel.

Baadhi ya wapalestina huko Gaza walipinga ziara ya Trump
Baadhi ya wapalestina huko Gaza walipinga ziara ya Trump

Eneo la ukingo wa Magharibi pamoja na mashariki mwa mji wa Jerusalem limekaliwa na Israeli kwa miaka 50.

Baadhi ya watu wenye ushawishi ndani ya serikali ya Israel wanaamini kuwa ardhi hiyo ni ya Waisraeli waliyopewa na Mungu.

Utawala wa Palestina umegawanyika huku Kundi la Fatah likitawala huko Ukingo wa Magharibi na Hamas huko Gaza.

Watu 19 wauwawa kwenye mlipuko Manchester Uingereza

Manchester explosion

IMG-20170426-WA0006

Polisi katika mji wa Manchester nchini Uingereza wanasema watu 19 wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa kwenye mulipuko uliotokea ndani ya ukumbi wa tamasha la muziki.

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametaja tukio hili kama kitendo cha ugaidi.

Ikiwa itathibitishwa kuwa ni shambulio la kigaidi, litakua mbaya zaidi kuwahi kukumba Uingereza tangu Julai mwaka 2005 wakati zaidi ya watu 50 walikufa kwenye misururu ya milipuko mjini London.

Manchester explosion
Watu 19 wauwawa kwenye mlipuko Manchester Uingereza

Watu walioshuhudia mulipuko huo wa Manchester wamesema mwamziki wa Marekani Ariana Grande alikua amemaliza kuwatumbuiza mashabiki wake, wakati mulipuko mkubwa ulisikika na kutikisa ukumbi mzima.

Mashahidi wamesema kuona misumari iliyotapakaa sakafuni na harufu ya vilipuzi.

Manchester explosionEneo kulikotokea mulipuko huo limezingirwa na polisi waliojihami wanaendelea kushika doria.

Wakati huo huo Waziri Mkuu Theresa May anatarajiwa kuongoza kikao cha dharura cha kamati ya usalama baadaye leo.

Manchester terror attackRipoti ambazo hazijathitishwa kutoka kwa maafisa wa Marekani ambao hawakutajawa zinasema kuwa shambulizi hilo lilifanywa na mshambuliaji wa kujitoa mhanga.

Manchester explosionUkumbi wa Manchester ambao ulikuwa ukifahamika awali kama ukumbi wa wanaume, ndio ukumbua mkubwa zaidi mjini humo wenye uwezo wa kuwachukua watu 18,000

Barabara ya ukumbi huo unuangana na kituoacha treni cha Victoria kati kati mwa mji.

Manchester explosion
Watu 19 wauwawa kwenye mlipuko Manchester Uingereza

Ukumbi huo hutumiwa kuandaa tamasha za manyota wakuu kama Ariana Grande nyota wa runinga mwenye umri wa miaka 23 ambaye sasa ni nyota wa muziki wa pop.

Manchester terror attack

Manchester explosion


clouds stream