Rais Dkt.John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali leo.
Majina ya waliteuliwa yametangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambapo amesema walioteuliwa ni Wakuu wa
mikoa, Makatibu Wakuu, na Manaibu Katibu Wakuu.
