Sunday 29 January 2017

Treni Ya Abiria EXPRESS Yapata Ajali Ikitokea Kigoma



IMG-20170129-WA0022
img-20161130-wa0008

Treni ya abiria ya EXPRESS imepata ajali na kupinduka ikiwa inatokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam jana katika maeneo ya Ruvu, Mkoa wa Pwani ikiwa ni kilometa kadhaa kabla ya kufika Jijini Dar es Salaam.

Mabehewa zaidi ya kumi yalipinduka na kulazimu abiria kupitia madirishani nili kunusuru maisha yao huku kukiwa bado hakuna kifo kilichoripotiwa kutokea.

IMG-20170129-WA0020IMG-20170129-WA0017 (1)IMG-20170129-WA0016IMG-20170129-WA0015

clouds stream