Monday 10 November 2014

ARSENAL YAKUBALI KIPIGO

ARSENAL YAKUBALI KIPIGO


1415555713459_wps_10_Swansea_City_s_Bafetimbi_
Magoli mawili ya Swansea city yalio fungwa dakika ya 75 na 78 yameizamisha Arsenal na kuitupa mpaka nafasi ya 6 kwenye msimamo wa Ligi kuu nchini Uingereza.Goli la Arsenal limepachikwa na mchezaji aliye kwenye kiwango chake kwa sasa Alex Sanchez kwenye dakika ya 63.Kocha wa Arsenal,Arsene Wenger akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa Habari amesema timu yake inakabiliwa na majeruhi kibao ndio maana inashindwa kuikabili misukosuko ya Ligi na mpaka mwisho wa mchezo Swansea 2-1 Arsenal.Mechi nyingine zilizochezwa jana na matokeo yake Tottenham 1-2 Stoke, Sunderland 1-1 Everton, Westbrom 0-2 Newcastle.
1415553372955_wps_81_Arsenal_goalkeeper_Wojcie
Wachezaji wa Swansea wakilipa misukosuko lango la Arsenal
1415554549807_wps_87_Arsenal_s_Chilean_striker
Alex Sanchez akiifungia Arsenal goli kwenye dakika ya 63

clouds stream