Wednesday 5 November 2014

RAIS WA SUDAN KUSINI AANGUKA UWANJA WA NDEGE

RAIS WA SUDAN KUSINI AANGUKA UWANJA WA NDEGE


Sudan's First Vice President Mayardit meets Darfur chief mediator Bassole and Qatar's Foreign Minister Ahmed in Juba in south Sudan

Katika hali isiyotegemewa Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ameanguka chini muda mfupi baada ya kuwasili kwenye mji mkuu wa Sudan,Khartoum kukutana na Rais wa Sudan Omar al Bashir,baada ya tukio hilo maafisa wa Ulinzi wa Rais Salva Kiir waliamuru kwa nguvu mwandishi aliyepiga picha ya tukio hilo azifute mara moja ili kuondoa ushahidi wa tukio hilo.Watu walifuatilia tukio hilo wanasema chanzo cha Rais Salva Kiir kuanguka ni kuchoka,pia baada ya madaktari kufanya uchunguzin aliondoka na gari uwanja wa ndege

clouds stream