Monday 10 November 2014

DK MUNROE NA MKEWE WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE

DK MUNROE NA MKEWE WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA NDEGE



munroe
Dr. Myles Munroe akiwa na mkewe Ruth enzi za Uhai wao
Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na Uongozi kutoka Bahamas ambaye anajulikana sana kwa jina la Dr. Myles Munroe amefariki dunia pamoja na mkewe Ruth na mtoto wao wa kike kwenye ajali ya ndege iliyotokea huko Grand Bahama jumapili jioni.Katika ajali hiyo, ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria iligonga winchi na kulipuka wakati ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grand Bahama.

clouds stream