Wednesday 5 November 2014

CAVANI AIBEBA PSG IKISHINDA1-0

CAVANI AIBEBA PSG IKIPIGA MTU 1-0



Edenson Cavani akiifungia PSG bao muhimu katika ushindi wa 1-0 hapo jana katika mchezo wa klabu bingwa Ulaya.
Edenson Cavani akiifungia PSG bao muhimu katika ushindi wa 1-0 hapo jana katika mchezo wa klabu bingwa Ulaya.
Klabu ya PSG kutoka Ufaransa jana imeitungua Apoel Nicosia kwa bao 1-0 katika michuano ya klabu bingwa Ulaya michezo iliyopigwa jana.
Shukrani kwake mshambuliaji wa PSG Edenson Cavani ambaye alipiga bao hilo pekee kwa kuunganisha kroi kwa kichwa cha kuogerea.

clouds stream