Sunday 28 May 2017

DAVID BECKHAM YUKO NCHINI KWA AJILI YA UTALII

IMG-20170426-WA0006
 Kiungo nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham yupo nchini kwa ajili ya shughuli za utalii.

Beckham akiwa na familia yake, ametua nchini jana usiku na leo huenda akaingia mbugani kwa ajili ya shughuli za utalii.

Raia huyo wa England ambaye pia aliwahi kutamba na Real Madrid, AC Milan na LA Galaxy alionekana yuko chini ya uangalizi wa wenyeji wake alipotua.

clouds stream