Sunday 28 May 2017

Simba SC Bingwa Kombe La ASFC

Wachezaji na viongozi wa Simba SC wakifurahia taji a Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania Bara (ASFC) msimu wa 2016/17
IMG-20170426-WA0006
Wachezaji na viongozi wa Simba SC wakifurahia taji a Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania Bara (ASFC) msimu wa 2016/17.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (ASFC), Nahodha wa klabu ya Simba SC Jonas Mkude baada ya kuitandika Mbao FC kwa mabao 2-1 baada ya muda wa nyongeza.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (ASFC), Nahodha wa klabu ya Simba SC Jonas Mkude baada ya kuitandika Mbao FC kwa mabao 2-­1 baada ya muda wa nyongeza.
Nahodha wa Simba SC Jonas Mkude akipokea hundi ya Shilingi milioni 50 ikiwa ni zawadi ya bingwa wa ASFC
Nahodha wa Simba SC Jonas Mkude akipokea hundi ya Shilingi milioni 50 ikiwa ni zawadi ya bingwa wa ASFC.
Mkwaju wa penalti wa Shiza Kichuya katika muda wa nyongeza ulioipa taji kabla yake mbele ya Mbao FC kwa mabao 2-1.
Mkwaju wa penalti wa Shiza Kichuya katika muda wa nyongeza ulioipa taji kabla yake mbele ya Mbao FC kwa mabao 2-­1.
Shiza Kichuya akiiunuliwa juu baada ya ushindi huo.
Shiza Kichuya akiinuliwa juu baada ya ushindi .
Shabiki wa Simba akiwa na msumeno bandia ulioandikwa maneno ya kuisuta Mbao FC
Shabiki wa Simba akiwa na msumeno bandia ulioandikwa maneno ya kuisuta Mbao FC.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifuatilia fainali hizo.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akifuatilia mpambano huo.
Mshambuliaji wa Ivory oast Fredrick Blagnon aliyetokea benchi na kuipa Simba SC bao la kuongoza akishangilia.
Mshambuliaji wa Ivory oast Fredrick Blagnon aliyetokea benchi na kuipa Simba SC bao la kuongoza akishangilia.
Wafungaji wa mabao wa Simba SCBlagnon na Kichuya wakipongezana baada ya kazi nzito.
Wafungaji wa mabao wa Simba SCBlagnon na Kichuya wakipongezana baada ya kazi nzito.
Fainali za ASFC msimu wa 2016/17 upande wa mashabiki
Upande wa mashabiki.
Manyika
Mlinda mlango chaguo la tatu la Simba SC Peter Manyika Jr akiwafariji wachezaji wa Mbao FC baada ya kumalizika kwa fainali.

clouds stream