Sunday 28 May 2017

TANZIA: Meya Wa Urambo, Peter Sitta Afariki Dunia



18698161_1494209947309661_7629695579938813421_n
IMG-20170426-WA0006

Meya wa Mji Mdogo wa Urambo, Ndg. Peter Sitta amefariki dunia katika Hospitali ya Hindu Mandal alikokuwa amelazwa akitibiwa.

Marehemu Peter Sitta ni ndugu wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, marehemu Samuel Sitta.

clouds stream