Tuesday 6 June 2017

PICHA: RC Kilimanjaro, Anna Mghwira Akitoka Ikulu Kula Kiapo


kili
IMG-20170426-WA0006
Mkuu mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Anna Elisha Mghwira akiondoka katika viunga vya Ikulu mapema leo mara baada ya kula kiapo mbele ya Rais.
Kabla ya uteuzi alikuwa Mwenyekiti wa chama cha ACT – Wazalendo na mgombea wa kiti cha Urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.
1-34-48.7-28-1

clouds stream