Monday 20 July 2015

BREAKING NEWS: Majambazi 5 mauaji ya Stakishari wakamatwa

 BREAKING NEWS: Majambazi 5 mauaji ya Stakishari wakamatwa
TAREHE 20 JULY


Jeshi la Polisi kanda ya Dar es Salaam chini ya Suleiman Kova imeyakamata majambazi 5 maeneo ya Mbagara yakiwa na fedha kiasi cha milioni 170 pamoja na bunduki 16 miongoni mwao ni zile zilizoibiwa kwenye kituo cha polisi Stakishari kilichopo Ukonga.






clouds stream