Sunday 19 July 2015

ZAIDI YAO MUSIC TOUR. Usikose kuuzulia burudani kutoka kwa wasanii wa bongo fleva mjini Dodoma, 1 August 2015

Baadhi ya wa sanii watakao kuwepo  kuwarusha wana Dodoma wakiongozwa na Yamoto band, Weusi, Belle9, Mo music, Samir, Baraka da prince, Mr brue, Nas B pamoja na Barnaba. Kuanzia saa nne asubuhi mpaka utakapo choka we mwenyewe, 1 / 8 / 2015, Kiingilio ni TSH 5000/=. USIKOSE.

clouds stream