Sunday 10 January 2016

Shujaa Samatta Atua Bongo,Alakiwa Na Mamia Ya Mashabiki


Shujaa Samatta Atua Bongo,Alakiwa Na Mamia Ya Mashabiki


Tarehe January 9, 2016
Samatta akiwa na Baba yake mzazi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere
Samatta akiwa na Baba yake mzazi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere
Mwanasoka Bora Afrika kwa wanaokipiga ndani ya bara hili, Mbwana Samatta amerejea nyumbani usiku wa manane na kupokelewa na mashabiki waliojitokeza.
Samatta amereje nchini akitokea Lagos, Nigeria ambako alishinda tuzo hiyo. Angalia ilivyokuwa mashabiki hao wakiwa na furaha tele.

clouds stream