Thursday 24 August 2017

MMOJA AFARIKI , WENGINE WAKIJERUHIWA BAADA YA DALADALA KUGONGA TRENI NA KUBURUZWA

DH-JSKiXUAE1wtO
IMG-20170426-WA0006

Habari zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya, wakiwemo wanafunzi, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kwenda shule kugonga Treni, eneo la Tanesco, Mkoani Morogoro na kuburuzwa umbali unaokadiriwa kuwa mita 150, Mkoani Morogoro.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Morogoro, Frank Jacob athibitisha.

Ndugu msomaji endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi juu ya tukio hili kadiri zitakavyotufikia kutoka mamlaka husika.

clouds stream