Thursday 31 August 2017

Watoto 4 Watekwa Nyara Arusha, Wazazi Watakiwa Kutoa Pesa

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
IMG-20170426-WA0006

Jiji la Arusha limeingia katika ‘headlines’ kuanzia siku ya jana baada ya kuripotiwa kwa matukio ya utekaji watoto wadogo huku watekaji wakidai pesa kiasi cha milioni 4 ili kuwaachia.

Inadaiwa kuwa tayari watoto wanne wametekwa, na watekaji hao wanatumia njia ya karatasi iliyoandikwa kwa kalamu na mkono kuwasiliana na wazazi wa watoto hao na kudai pesa ili kuwaachia.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini wahalifu hao na kuwatia nguvuni huku akiwataka wananchi kuwa watulivu.

DIZddsXWsAAWjUX

clouds stream