Kina Ronaldo Washatua Manchester City Ona Picha
Tarehe April 26, 2016


Ronaldo akiwa ndio anatoka katika lango la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manchester city
Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya hatua ya Nusu fainali inaendelea tena leo ambapo Manchester City watamenyana na Real Madrid,Kikosi cha Real Madrid kimetua katika jiji la Manchester City kukabiliana na wenyeji wao Manchesetr City
katika Mechi hiyo Man City wanatakuwa na pigo kubwa la kumkosa Kiungo wao kutoka Ivory Coast, Yaya Toure.
nimekuwekea Picha za Real Madrid walipokuwa wakiwasili Manchester





Sergioa Ramos naye alipata wasaha wa kuongea na mashabiki


Ronaldo kama kawaida yake ni kipenzi cha mashabiki


Pepe akiongea na mashabiki


Gareth Bale akisalimiana na mashabiki waolifika kuwapokea