Tuesday 26 April 2016

Kina Ronaldo Washatua Manchester City Ona Picha

Kina Ronaldo Washatua Manchester City Ona Picha

Tarehe April 26, 2016Ronaldo akiwa ndio anatoka katika lango la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manchester city
Ronaldo akiwa ndio anatoka katika lango la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manchester city
Ronaldo akiwa ndio anatoka katika lango la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manchester city
Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya hatua ya Nusu fainali inaendelea tena leo ambapo Manchester City watamenyana na Real Madrid,Kikosi cha Real Madrid kimetua katika jiji la Manchester City kukabiliana na wenyeji wao Manchesetr City
katika Mechi hiyo Man City wanatakuwa na pigo kubwa la kumkosa Kiungo wao kutoka Ivory Coast, Yaya Toure.
nimekuwekea Picha za Real Madrid walipokuwa wakiwasili Manchester13076997_10151027070059953_7346205144108414913_nSergioa Ramos naye alipata wasaha wa kuongea na mashabiki
13076997_10151027070059953_7346205144108414913_n
Sergioa Ramos naye alipata wasaha wa kuongea na mashabiki
Sergioa Ramos naye alipata wasaha wa kuongea na mashabikiRonaldo kama kawaida yake ni kipenzi cha mashabiki

Ronaldo kama kawaida yake ni kipenzi cha mashabiki
Ronaldo kama kawaida yake ni kipenzi cha mashabikiPepe akiongea na mashabiki

Pepe akiongea na mashabiki
Pepe akiongea na mashabikiGareth Bale akisalimiana na mashabiki walifika kuwapokea
Gareth Bale akisalimiana na mashabiki walifika kuwapokea
Gareth Bale akisalimiana na mashabiki waolifika kuwapokea

clouds stream