Tuesday 12 April 2016

Picha Azam Fc Wakijifua Jioni Ya Leo


 Picha Azam Fc Wakijifua Jioni Ya Leo


Tarehe April 11, 2016Mwantika akipiga mbizi ilikuweka mwili safi
Mwantika akipiga mbizi ilikuweka mwili safi
Mwantika akipiga mbizi ilikuweka mwili safi
Baadhi ya wachezaji wa Azam FC walivyofanya mazoezi binafsi mara baada ya mazoezi ya jioni ya leo, mabeki David Mwantika na Gadiel Michael walikuwa wakifanya mazoezi ya kutafuta pumzi ndani ya bwawa la kuogelea kwa kuzama chini na kupiga mbizi kinyumenyume na kwa kwenda mbele.
12957438_1165368266836861_1295259493603279876_oWinga Khamis Mcha yeye alitumia muda wake binafsi kufanya mazoezi ya ‘gym’, yote hayo ni katika kujiweka fiti zaidi kimwili.12973350_1165368323503522_8479810840086730883_o
12973350_1165368323503522_8479810840086730883_o

 12985366_1165368180170203_2814174795365792906_n
12957438_1165368266836861_1295259493603279876_o
12985366_1165368180170203_2814174795365792906_n
12983309_1165368446836843_2723698762222629130_o12983309_1165368446836843_2723698762222629130_o

clouds stream