Saturday 11 March 2017

Rais Tump ‘Amfagilia’ Magufuli, Asema Haya Kuhusu Tanzania

Rais wa Marekani Donald Trump.
Rais wa Marekani Donald Trump.
img-20161130-wa0008

Rais wa Marekani Donald Trump amempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuwa mfano mzuri wa viongozi wa Afrika.

Wakati akisaini sheria ambayo itakuwa ikizuia waafrika kutoka nchi ambazo marais wake hawafanyi lolote na wale ambao wamegoma kuondoka madarakani, Trump amesema Rais Magufuli ni mfano wa viongozi bora wa Afrika na nchi yake inastahili kutendewa kipekee.

Amesema kuwa sheria hiyo itaziathiri nchi kama Zimbabwe, Uganda na nyingine za Afrika ambazo marais wake wamekataa kuondoka madarakani wakiwa hawafanyi lolote na kusema kuwa Tanzania si miongoni mwa nchi hizo kwa kuwa rais wake, John Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri.

Kwa mujibu wa Rais Trump , Watanzania hawatazuiwa kwenda Marekani na watapewa upendeleo maalum kwa hisani ya Rais Magufuli.

Trump amehitimisha kwa kumpongeza Rais Magufuli kwa uongozi wake akisema “Hongera wajina wangu John Magufuli, wewe ni shujaa wa Afrika”.

clouds stream