Tuesday 14 March 2017

Ridhiwani Ahojiwa Madawa Ya Kulevya, Afunguka Haya

17310306_1412991418764848_4756928326927975667_o
img-20161130-wa0008

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete jana amehojiwa na Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya na kudai kufurahishwa kwake na hatua hiyo ya kuitwa na kuhojiwa.

Amesema baada ya kupata fursa ya kueleza ukweli imebainika kuwa hauzi wala kusafirisha dawa za kulevya.

Naye Kamishna wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, William Siang’a amesema wanamhoji kila mtu aliyetuhumiwa na ikibainika ana kosa anachukuliwa hatua.

clouds stream