Friday 25 November 2016

Mawaziri walumbana uteuzi wa mgombea urais Ufaransa

Francois Fillon, hakujarajiwa kushinda awamu ya kwanza ya kura zilizopigwa

Francois Fillon, hakutarajiwa kushinda awamu ya kwanza ya kura zilizopigwa

Mawaziri wakuu wastaafu wawili nchini Ufaransa walilumbana katika mdaalo wa Televisheni baada ya uteuzi wa mgombea wa urais wa mrengwa wa kulia wa chama cha Pepublican.

Francois Fillon, hakujarajiwa kushinda awamu ya kwanza ya kura zilizopigwa na kumlalamikia Alan Juppe kwa kuonyesha misimamo yake ya kale.

Bwana Juppe amesema kuwa mipango ya mpinzani wake ikiwemo suala la kupunguzwa kwa bajeti ilikuwa mibaya.

Mwakilishi kutoka Paris anasema atakayeteuliwa katika chama cha Republican pamoja na mgawanyiko wa uongozi wa chama cha Socialist atambambana na kiongozi Marine Le Pen wa mrengwa wa kulia katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Mei mwakani.

clouds stream