Monday 6 February 2017

Cameroon yanyakua ubingwa AFCON

Wachezaji wa Cameroon

Wachezaji wa Cameroon
img-20161130-wa0008

Timu ya Taifa ya Cameroon imeibuka bingwa wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa kuifunga Misri bao 2 kwa moja.

Bao la ushindi liliingizwa golini katika dakika ya 88.

Misri ambayo ilikuwa imenuia kushinda mashindano hayo na kuweka rekodi ya mshindi mara nane, ilikuwa ikiongoza katika kipindi cha kwanza.

NI mara ya tano kwa Cameroon kubeba kombe hilo ya mataifa ya Afrika na mara yake ya kwanza tangu mwaka 2002.

clouds stream