Saturday 25 February 2017

Viongozi Wa Serikali, Siasa Walioshuhudia Mnyama Akiiua Yanga

C5haSBtXMAQoMGf
img-20161130-wa0008

Baadhi ya Viongozi wa Serikali na Siasa leo walikuwa miongoni mwa watu walioshuhudia mpambano kati ya watani wa jadi Simba na Yanga katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam, ambapo mnyama Simba ameibuka kidedea kwa kuibamiza Yanga goli 2­1 licha ya kuwa pungufu kwa muda mrefu.

Viongozi hao ni pamoja Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema na Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Jamal Malinzi na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete. C5haR9vXMAAn1pfC5haSBrWMAAeU16C5haSBrWQAIntRfC5haSBtXMAQoMGf

clouds stream