Friday 17 February 2017

Watumishi TRA Matatani Kwa Madawa Ya Kulevya


Kamishna Mkuu Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga.
Kamishna Mkuu Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga.
img-20161130-wa0008

Mamlaka ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya inawashikilia watumishi wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa kuhusika kupitisha viuatilifu vya kutengeneza dawa za kulevya.

Kamishna wa Operesheni wa mamlaka hiyo, Mihayo Msikela amesema watumishi hao walishirikiana na wanaosafirisha dawa hizo kuzipitisha hapa nchini.

Amedai kuwa watumishi wengine wawili wanafuatiliwa nyendo zao kabla ya kutiwa nguvuni kwa ajili ya mahojiano.

clouds stream