Tuesday 31 October 2017

Nape Akana Taarifa Iliyozagaa Mitandaoni



Mbunge wa Mtama Nape Nnauye.

Baada ya Mbunge Lazaro Nyalandu kujiuzulu na kuhamia chama cha Chadema,Nape amekana taarifa iliyoenea mitandaoni kuwaatazungumza na  Waandishi wa Habari leo.

Kupitia ukurasa wake wa Mitandao ya kijamii Nape amesema hatakuwa na mkutano wowote na vyombo vya habari na kusema
kuwa watu wanatunga hizo taarifa.

“Acheni kupiga ramli juu ya kesho yangu!! Kisa mnatafuta vyeo na hamuwezi kutumia akili kufikiri! Sina ‘press conference’
kesho” aliandika Nape Nnauye.

clouds stream