Friday 27 October 2017

Rais Magufuli Apangua Wakuu Wa Mikoa,Makatibu Wakuu




Rais Dkt.John Pombe Magufuli.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali leo.

Majina ya waliteuliwa yametangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambapo amesema walioteuliwa ni Wakuu wa
mikoa, Makatibu Wakuu, na Manaibu Katibu Wakuu.

clouds stream