Saturday 21 May 2016

Habari Njema Yanga Pluijm Anza Mazungumzo

Habari Njema Yanga Pluijm Anza Mazungumzo

Tarehe May 21, 2016
Kocha wa Yanga Hans Pluijm akiwa amenyanyua kombe walilokabidhiwa kama washindi wa michuano ya ligi kuu Tanzania bara
Kocha wa Yanga Hans Pluijm akiwa amenyanyua kombe walilokabidhiwa kama washindi wa michuano ya ligi kuu Tanzania bara
Yanga yafungua rasmi mazungumzo na kocha mkuu Hans Van Pluijm kuhusu kandarasi mpya baada ya mkataba wa awali kubaki takribani siku 10 tu.
“Sina wasiwasi kwa hilo, tunaishi vizuri na waajiri wangu kila mtu ana furaha,wana Yanga wananipenda . . Ni matumaini yangu ntaendelea kubaki hapa, najihisi ni sehem ya familia hii” ni maneno ya Hans Van Pluijm.
Uongozi wa Yanga umejibu mapigo kuwa kwa mafanikio haya ya Yanga watampa mkataba mpya mnono Pluijm huku wakidai ataendelea kubaki mpaka achoke mwenyewe.

clouds stream