Tuesday 24 May 2016

Picha : Mourinho Akihama Kuelekea Man United

Picha : Mourinho Akihama Kuelekea Man United

Tarehe May 24, 2016mourinho anahama
mourinho anahama
Kocha Jose Mourinho ameonekana akisimamia kazi ya kuhama katika eneo la West London jijini London.
 Wakati Mourinho anasimamia zoezi hilo, hakuna ubishi sasa anahamia jijini Manchester kwa ajili ya kuanza kazi mpya.
 Baada ya kocha Louis van Gaal kutupiwa virago licha ya kutwaa Kombe la FA, kocha anayeelezwa anajiunga na Man United ni Jose Mourinho.
348879F300000578-3604976-image-a-74_1464016822981348879F300000578-3604976-image-a-74_1464016822981

clouds stream