Monday 23 May 2016

Tanga Kunani Pale?,Timu Mbili Za Shuka Daraja

Tanga Kunani Pale?,Timu Mbili Za Shuka Daraja

Tarehe May 23, 2016Mashabiki wa Coastal Union
Mashabiki wa Coastal Union
Mashabiki wa Coastal Union
Timu nyingine ya Tanga, African Sports imeteremka daraja na kufanya timu mbili za mkoa wa Tanga kuwa zimeteremka daraja kutoka Ligi Kuu Bara hadi daraja la kwanza.
African Sports imepigwa mabao 2-0 na wenyeji wao Mtibwa Sugar hivyo kubaki na pointi 26 zinazowafanya wabaki katika nafasi ya 15 katika timu 16.
Tayari Coastal Union ilishateremka daraja na kuwa timu ya kwanza katika ligi hiyo kuteremka daraja.

clouds stream