Monday 31 October 2016

Bomoa Bomoa Yazidi Kushika Kasi Mbezi Louis


Baadhi ya wananchi wakishuhudia zoezi la uboamoji wa nyumba maeneo ya mbezi Luis.
Baadhi ya wananchi wakishuhudia zoezi la ubomoaji wa nyumba maeneo ya mbezi Louis.
Wakala wa Barabara Tanzania(Tanroad) wiki hii umeendesha zoezi la kubomoa nyumba, vibanda pamoja na mabango ya biashara yaliyojengwa ndani ya hifadhi ya Barabara katika maeneo ya Mbezi Mwisho jijini Dar es salaam.
Zoezi la ubomoaji limefanyika chini ya Ulinzi mkali kutoka kwa Jeshi la Polisi waliokuwa na silaha za moto.
Hata hivyo wakati wa zoezi la ubomoaji likiendelea baadhi ya Polisi walizuia watu waliokuwa wanapiga picha tukio hilo kupitia simu na vifaa vingine vya kigitali.Moja ya Ghorofa lililobomlewa nje ya kituo kikuu cha Daladala Mbezi luis.Moja ya Ghorofa lililobomlewa nje ya kituo kikuu cha Daladala Mbezi luis.Moja ya Ghorofa lililobomolewa nje ya kituo kikuu cha Daladala Mbezi louistTinga tinga likivunja moja ya nyumba katika eneo la Mbezi Louis jijini Dar es salaam

clouds stream