Wednesday 26 October 2016

JPM Atajwa Kuwania Tuzo Ya ‘Forbes’, Ingia Hapa Kumpigia Kura


personV 2
Rais Dkt John Pombe Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year.’ JPM atachuana na watu wengine wanne wakiwemo, Rais wa Mauritania, Ameenah Gulib, Mwanzilishi wa Capitec Bank, Michiel Le Roux na Thuli Madonsela wa Afrika Kusini pamoja na watu wa Rwanda.
Zikiwa zimebaki siku 22 za kupiga kura, unaweza kumpigia kura Rais Magufuli ambaye hadi sasa anaongoza kwa asilimia nyingi (73%).
Mwaka huu tuzo hizo zitatolewa jijini Nairobi, Kenya November 17.
Wafuatao ni washindi wa tuzo hiyo kwa miaka ya nyuma
Mohammed Dewji (Tanzania)– 2015
Aliko Dangote (Nigeria)– 2014
Akinwumi Adesina (Nigeria) – 2013
James Mwangi (Kenya) – 2012
Sanusi Lamido Sanusi (Nigeria)- 2011

clouds stream