Wednesday 13 May 2015

Kufa au kupona leo: Real vs Juventus



Kufa au kupona leo: Real vs Juventus


ronaldochampionsleague.640x480

Juventus inaelekea kwenye mchezo wa raundi ya pili ligi ya mabingwa barani ulaya ikiwa na hazina ya magoli 2 iliyoyapata kwenye ushindi wa magoli 2-1 mjini Turin kwa magoli ya Álvaro Morata na Carlos Tévez. Timu zote mbili zilikutana msimu uliopita kwenye makundi baada Madrid kupata ushindi wa 2-1 nyumani kabla ya kutoka sare ya 2-2 jijini Turin.
Real Madrid ameshinda mara 21 katika michezo 29 dhidi ya timu za Italia na kutoka sare mara mbili na pia rekodi nzuri ya kucheza michezo 11 bila kufungwa kabla ya kupoteza kwa 4-3 dhidi ya FC Schalke 04 licha ya Ronaldo kupiga goli mbili na hivyo kuisaidia Real Madrid kupita hatua ya 16 bora.
article-2277738-1789E652000005DC-941_634x462
Matokeo ya ujumla ya Real Madrid kwenye hatua ya 16 bora;
5-0 v FC Bayern Munich, 2013/14
3-4 v Borussia Dortmund, 2012/13
3-3 v FC Bayern Munich,
1-3 v FC Barcelona, 2010/11
3-4 v Juventus, 2002/03
3-1 v FC Barcelona, 2001/02
1-3 v FC Bayern Munich, 2000/01
3-2 v FC Bayern Munich, 1999/2000
2-0 v Borussia Dortmund, 1997/98
1-6 v AC Milan, 1988/89
1-1 v PSV Eindhoven, lost on away goals, 1987/88
2-4 v FC Bayern Munich, 1986/87
2-1 v FC Inter Milan, 1980/81
3-5 v Hamburger SV, 1979/80
1-3 v FC Bayern Munich, 1975/76
1-3 v AFC Ajax, 1972/73
3-4 v Manchester United FC, 1967/68
2-1 v FC Inter Milan, 1965/66
8-1 v FC Zürich, 1963/64
6-0 v R. Standard de Liège, 1961/62
6-2 v FC Barcelona, 1959/60
2-1 v Club Atlético de Madrid, 1958/59
4-2 v Vasas SC, 1957/58
5-3 v Manchester United FC, 1956/57
5-4 v AC Milan, 1955/56

clouds stream