Wednesday 13 May 2015

Mzozo wa matangazo wazua mgogoro mkubwa La Liga

Mzozo wa matangazo wazua mgogoro mkubwa La Liga


javier-tebas-lfp_1arumqy97utu31th7homo0zwfo
Hakuna maendeleo kwenye mkutano kati ya wakuu wa liga na vilabu nchini mpaka kuzua mshtuko mkubwa kuhusu uwezekano wa kukosekana kwa mechi za mwishoni mwa juma.
Serikali nchini Hispania ilitangaza makualiano mapya juu ya kuweka usawa zaidi kwenye ligi kwa kuondoa uwepo wa makubaliano ya matangazo ya televisheni ya vilabu vyenye nguvu nchini Hispania ambavyo ni Real Madrid na Barcelona.
Makubaliano haya ndio yanasababisha mgomo kwa vilabu unaotarajiwa kuanzia mei 16, mgomo huu utaathiri mechi za fainali za ligi ya mabingwa barani ulaya itakayochezwa juni 6 na na Copa Amerika.

clouds stream