Tuesday 26 May 2015

Mafuriko yaikumba Texas, watu 18 wafariki dunia

Mafuriko yaikumba Texas, watu 18 wafariki dunia

Tarehe May 26, 2015
Mafuriko yatokea nchini Mareakani.
Mafuriko yatokea nchini Mareakani.
Mafuriko yamesababisha vifo vya watu 18 Magharibi mwa Marekani na Kaskazini mwa Mexico.
Wengi wa waliothibitishwa kufariki dunia kutokana na mafuriko hayo ni kutoka mpakani mwa Mexco katika mji wa Acuna.
Hata hivyo katika mji wa Texas watu watatu wamearifiwa kufa pia na wengine 12 hawajulikani waliko baada ya makazi yao kusombwa na mafuriko.
Gavana wa Texas Greg Abbott anasema mafuriko hayo yameleta madhara makubwa katika jimbo lake.

clouds stream