Thursday 4 August 2016

Mavugo Atua Dar Jezi Namba 45 Itamuhusu

Tarehe August 5, 2016
mavugo
V 1Laudit Mavugo

Simba imekata mzizi wa fitina baada ya mshambuliaji aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa, Laudit Mavugo kutua nchini jana usiku akitokea Burundi tayari kumalizana na Simba na kila kitu kilikwenda kimyakimya,Uongozi wa Simba umekuwa ukihaha kumnasa mshambuliaji huyo raia wa Burundi ambaye anakipiga katika kikosi cha Vital’O.

clouds stream